johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tumkimpa chama au nchi itakuwaje ?.Hawa wameishiwa content. Kukopeshana kunahusiana vipi na swala Zima la uchaguzi wa CHADEMA?
Hapana, usichukue kipande hicho tu. Kumbuka ilikotoka hiyo. Kuna siku alisema aliiulizia hela ambayo Tundu Lissu anaidai serikali kwa Abdul kwa kuwa katika hela hiyo kuna hela yakeHawa wameishiwa content. Kukopeshana kunahusiana vipi na swala Zima la uchaguzi wa CHADEMA?
Tunazidisha mahaba. Kwani mdaiwa mwenye amekanusha?Kwenye madai yake kuhusu kumkopesha Lissu ushahidi wake ni upi?
Alishakanusha siku nyingi,huyu jaluo ni tapeli tu.Tunazidisha mahaba. Kwani mdaiwa mwenye amekanusha?
Unazidisha uzembe. Kwani hukufuatilia interviews aliyofanyiwa Club house?Tunazidisha mahaba. Kwani mdaiwa mwenye amekanusha?
Alimkopesha lini na kwa makubaliano gani? Hajasema kama Lissu amekiuka makubaliano!Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Walio soma na WENJE pale BUTIMBA TEACHER COLLEGE (TCC) wanajua WENJE ni mpiga deal period!Alishakanusha siku nyingi,huyu jaluo ni tapeli tu.
Kumbe ni mualimu wa diploma tu.Walio soma na WENJE pale BUTIMBA TEACHER COLLEGE (TCC) wanajua WENJE ni mpiga deal period!
Grade AKumbe ni mualimu wa diploma tu.
TCC = TTCWalio soma na WENJE pale BUTIMBA TEACHER COLLEGE (TCC) wanajua WENJE ni mpiga deal period!
Mbona Lissu kaongea hadaiwi chochote na Wenje.Tunazidisha mahaba. Kwani mdaiwa mwenye amekanusha?
Yaani tulale sahivi serious?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema alimkopesha makamu Mwenyekiti wa Chadema shilingi million 10 anamdai
Source: One on One tv
Baadae Mlale unono ππ₯
Sisi CCM tunarekodi kila sentenso πMbona Lissu kaongea hadaiwi chochote na Wenje.