Pre GE2025 Wenje: Tunahitaji kuwa kama Zelensky, tutapinga udikteta uchwara ndani ya CHADEMA

Pre GE2025 Wenje: Tunahitaji kuwa kama Zelensky, tutapinga udikteta uchwara ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
1001035832.jpg


Je, ndani ya Chadema kuna dikteta uchwara?
Kama yupo ashughulikiwe mara moja kwa maslahi ya taifa.
 
TAL anaonjeshwa dawa yake mwenyewe - kuitwa dikteta wakati yeye mwenyewe hujinadi kwamba alikuwa kinara wa kumpinga dikteta.

Miaka inakwenda kasi mno.
 
Nilishasema hili ni kundi la walalamikaji,bado walikuwa hawajafaa kuwa viongozi
 
Back
Top Bottom