Wenye akili hili tumelijua Kitambo tu, ila tunataka kusikia nyie kama MCT mmelitatua vipi

Wenye akili hili tumelijua Kitambo tu, ila tunataka kusikia nyie kama MCT mmelitatua vipi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Changamoto tunayoiona kwenye Redio ni wamiliki wa Redio kuwaajiri watu Wenye followers wengi. Na mazingira ndiyo yametuhamisha. Kwahiyo huyu mtu mwenye 'followers' Mmiliki wa Redio anaona akichukua atamletea watu wengi"

"Ambao hao watu watamletea pesa na yeye kulipa mishahara. Athari ya hili jambo, ndio unaona maadili hayafuatwi. Vitu vya ajabu ajabu vinakwenda hewani. Namna Bora ya kutamka Maneno kwa watangazaji inakuwa hakuna" Paul Malimbo, Program Officer, Baraza la Habari Tanzania MCT.

Chanzo: cloudstv

====

Nami GENTAMYCINE kama Mdau tukuka wa Tasnia hii nasema kuwa hivi sasa 98% ya Media za nchini (tena zile Kubwa Kubwa na Maarufu) zimejaa Watangazaji hovyo hovyo (Wajinga), very Unprofessional na Wahuni tupu.

MCT nawalaumu kwa Kuchelewa Kushtuka na Kuchukua maamuzi dhidi ya huu Upuuzi ulioko katika Media za Tanzania.
 
MCT unayozungumzia ni ipi boss.., mi naijua Medical Council of Tanganyika(MCT) .
 
"Changamoto tunayoiona kwenye Redio ni wamiliki wa Redio kuwaajiri watu Wenye followers wengi. Na mazingira ndiyo yametuhamisha. Kwahiyo huyu mtu mwenye 'followers' Mmiliki wa Redio anaona akichukua atamletea watu wengi"


MCT nawalaumu kwa Kuchelewa Kushtuka na Kuchukua maamuzi dhidi ya huu Upuuzi ulioko katika Media za Tanzania.
Wafikishie salamu azam tv. mtangazaji wao mmoja ivona kamuntu, dah utangazaji wake namna anavyozungumza anatia madoido ya kubadili sauti, kusoma kwa haraka mpaka inakera kumsikiliza.
 
Umenikumbusha mbali sana mshua moja wa MCT kitambo sana Mzee Antony Ngaiza pale makumbusho anatembea kwa madaha sana anainua miguu mchanga usichafue kiatu chake kashuka kwenye GX100 yake hapo
 
Back
Top Bottom