Wenye akili timamu tujadiri hili, yanayoendea simba na yanga ni utani au chuki?

Asanteeeeee! Chanzo cha tatizo la Manara ni Manara mwenyewe. Ujuaji mwingiiiii!
 
Manara alikua ameibeza Yanga kwa miaka 6 akukua na tatizo tulichukulia kama utani,manara alikua anaenda kaunda pale kutukebehi ila alipoanza kuikebehi simba tu kaitwa kila jina na kutukanwa juu,na sasa hivi hamna kiumbe anaechukiwa na wanasimba kumshinda manara tena hapo toka aanze kuwakebehi hata mwaka bado while wenzao tulimvumilia miaka 6
 
Naomba kuanzia Leo fuatilia comments zangu kwenye thread yoyote inayoongelea Kashifa iwe ya Manara, Jembe ni Jembe, Jerry Murro au Jemadari Said maana hao ndo Wanamichezo wasioweza kutofautisha Weekend na siku za mapumziko.
 
Unaweza kunitafutia Uzi alipofungiwa Shafii Dauda uone tuliongea nini?
 
Hilo ni tusi?
 
Nilitaka nishangae Yani mwenye Akili timamu ajiite Kambale Mnene...! Umeanza Kwa kujiita mwenye Akili timamu nikakimbilia mbio kuja kuona huyo mwenye Akili timamu anaandika nini

Ningeshangaa kama kweli nawewe ungekuwa na Akili timamu maana tunajua huko Yanga wenye Akili timamu Kwa mujibu wa mtu unaemtetea ni Mzee kikwete na Mzee Sunday

Na ulichoandika kinaashiria ni kweli we haupo kwenye Hilo kundi la watu wawili wenye Akili hapo Yanga, kwa kifupi ni kwamba umejaa unafki tu na huna points maana huyo unaemtetea ndio aliefanya utani wa Simba na Yanga kwenda kwenye uhasama uliopo Leo hii

Ungeanza Kwa kukemea kwanza lugha anazotumiaga huyo mtu mnaepokezana kumtetea tangu Juzi basi angalau tungefikilia kukuongeza kwenye kundi la watu wenye Akili timamu pale Yanga na angalau mkawa watu watatu
 
🚨 KUTOKA KWA BUGATI

Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni

👉Mpole Cup

👉Sopu Cup

👉Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.

Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi MSOSA KAMA MSOSA TREBLE Byuti Byuti 🏆🏆🏆
 
Ninachokiona hapo haji amerushiana maneno na mamlaka tu. Matusi yote duniani yanatamkika ,taja tusi mkuu
 
Pamoja na ushauri na maoni hayo ya Shaffiiiii, acha avurumishiwe maneno ya hovyo!
 
Rudi kwenye thread yangu uelewe nilichoandika na nini maudhui yake.
Kama umeenda shule japo std 7,utaelewa kuwa mifano huwa michache sana na ikibidi mmoja tu kama wanafunzi ni waelewa.
Sikuwa na haja na wengine.
 
Uwingi wa kilo ni ulemavu? Watu wengine bhana!
Kama hujaelewa kaa kimya, wengine walioelewa wachangie.
UKIMYA NAO NI BUSARA
 
Hapo ndipo ulipofikia ufahamu,na uelewa wako.
 
Unaleta uzi sababu ya zeruzeru mchafu wa Taifa
 
Serikali haihusiki na masuala ya soka.... Labda kama kutakuwa na jinai.
 
Kwakweli hii nchi kuna tatizo mahala. Simba wameiheshimisha hii nchi kwa misimu 4 lakini Yanga hawajawahi kuipongeza Simba hata indirectly tu.Unadhani huo ni uungwana?

Nilifarijika sana pale Mo Dewji alipowapongeza Yanga kwa kutwaa ubingwa wa NBCL musimu wa 2021/22 pamoja kumtukana kote kule,plus wao kutoipongeza Simba kwa misimu yote 4. Watu wa aina ya Mo ni wachache sana kwenye soka letu shithole.
 
That's why kabla hujaandika kitu fanya kwanza utafiti angefanya utafiti angejua maana jambo linaonekana wazi kabisa kama unaingia mara kwa mara Forum lazima ungejua tu na kama haingii angetulia kabla ya kuja na hitimisho kitendo cha kumtaja mtu mmoja wakati wapo wengi huo ndio ushabiki wenyewe
Kwanini asifanye utafiti wakuwajua hao watu kuliko kumtaja mtu mmoja peke yake huoni hapo tayari kama kashamuharibia peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…