NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
mama anunui ushindi ananunua magoli,hata wakitoka 2-2 mshiko wa Simba upo palepale., maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Mpaka msemeKuna mazwazwa na wasio na akili walichekelea mno walipoona mama kapandisha dau la milioni kumi kwa kila goli Kama motisha na wengine wakapiga hesabu et "Kama tukiwafunga waarabu goli 7 tunapata milioni 70"
Wengine wakadhani kuwa mama kalewa/kajisahau kumbe wenye akili nyingi Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mama ni akili kubwa "she is a genius" and she knows everything about football.
Anajua kabisa Simba hawawezi na hawana uwezo wa kuchukua hata mia yake mbovu , maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Endeleeni kuzipigia hesabu pesa ambazo hazipo mkononi mwenu na njia ya kuzichukua ni ngumu sana.
AaahaaaaaKuna mazwazwa na wasio na akili walichekelea mno walipoona mama kapandisha dau la milioni kumi kwa kila goli Kama motisha na wengine wakapiga hesabu et "Kama tukiwafunga waarabu goli 7 tunapata milioni 70"
Wengine wakadhani kuwa mama kalewa/kajisahau kumbe wenye akili nyingi Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mama ni akili kubwa "she is a genius" and she knows everything about football.
Anajua kabisa Simba hawawezi na hawana uwezo wa kuchukua hata mia yake mbovu , maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Endeleeni kuzipigia hesabu pesa ambazo hazipo mkononi mwenu na njia ya kuzichukua ni ngumu sana.
KOLO WIZARD ULIPOTEA SANAMpaka mseme
yaan wewe kweri thio mzarendo,Kuna mazwazwa na wasio na akili walichekelea mno walipoona mama kapandisha dau la milioni kumi kwa kila goli Kama motisha na wengine wakapiga hesabu et "Kama tukiwafunga waarabu goli 7 tunapata milioni 70"
Wengine wakadhani kuwa mama kalewa/kajisahau kumbe wenye akili nyingi Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mama ni akili kubwa "she is a genius" and she knows everything about football.
Anajua kabisa Simba hawawezi na hawana uwezo wa kuchukua hata mia yake mbovu , maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Endeleeni kuzipigia hesabu pesa ambazo hazipo mkononi mwenu na njia ya kuzichukua ni ngumu sana.
Wenye akili zao washajua upeo wako wa kuelewa mambo!!Labda kama umeanza mwaka huu kufuatilia mpira!! Ina maana Simba haijawahi kupata goli kwa Al Ahly au? Mtoto mdogo utamjua tu!Kuna mazwazwa na wasio na akili walichekelea mno walipoona mama kapandisha dau la milioni kumi kwa kila goli Kama motisha na wengine wakapiga hesabu et "Kama tukiwafunga waarabu goli 7 tunapata milioni 70"
Wengine wakadhani kuwa mama kalewa/kajisahau kumbe wenye akili nyingi Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mama ni akili kubwa "she is a genius" and she knows everything about football.
Anajua kabisa Simba hawawezi na hawana uwezo wa kuchukua hata mia yake mbovu , maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Endeleeni kuzipigia hesabu pesa ambazo hazipo mkononi mwenu na njia ya kuzichukua ni ngumu sana.
THIWEDHI KUTHABIKIA THIMBA MIMIyaan wewe kweri thio mzarendo,
unaizarao thimbwaa kweri?
hau hunafanya kuthudi....
BILIONI TANO ZIPO SIMBA AU KACHUKUA MO.Hapo mama aandae kabisa kiasi kisichopungua 30,000,000/=. Wenye wivu poleni! This is Simba bwana!! Kwanza Simba haibabaishwi na hivyo visenti!! Au haujui kuwa imevuta Tsh bilioni 5 za CAF kwa kushiriki SUPER CUP?
thawaTHIWEDHI KUTHABIKIA THIMBA MIMI
Bilioni 3 tumezitumia kumnunua golikipa AYUBUHapo mama aandae kabisa kiasi kisichopungua 30,000,000/=. Wenye wivu poleni! This is Simba bwana!! Kwanza Simba haibabaishwi na hivyo visenti!! Au haujui kuwa imevuta Tsh bilioni 5 za CAF kwa kushiriki SUPER CUP?
hakika MACHOKO hayataisha Nchi hiiKuna mazwazwa na wasio na akili walichekelea mno walipoona mama kapandisha dau la milioni kumi kwa kila goli Kama motisha na wengine wakapiga hesabu et "Kama tukiwafunga waarabu goli 7 tunapata milioni 70"
Wengine wakadhani kuwa mama kalewa/kajisahau kumbe wenye akili nyingi Kama NALIA NGWENA tumeshaelewa kuwa mama ni akili kubwa "she is a genius" and she knows everything about football.
Anajua kabisa Simba hawawezi na hawana uwezo wa kuchukua hata mia yake mbovu , maana hawawezi kuifunga Al ahly.
Endeleeni kuzipigia hesabu pesa ambazo hazipo mkononi mwenu na njia ya kuzichukua ni ngumu sana.
Pia historia itaandikwa, kua timu ya kwanza Tanzania kuingia mashindano makubwa, na itakua timu ya kwanza kutolewa.Hapo mama aandae kabisa kiasi kisichopungua 30,000,000/=. Wenye wivu poleni! This is Simba bwana!! Kwanza Simba haibabaishwi na hivyo visenti!! Au haujui kuwa imevuta Tsh bilioni 5 za CAF kwa kushiriki SUPER CUP?
HUNA AKILI NA HUNA MARINDA WAZAZI WAKO WAMEKULA HASARA [emoji41]hakika MACHOKO hayataisha Nchi hii
Kesho sio mbali mwana wane."MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Nafasi ya Simba kujulikana Dunia nzima kuwa ni timu ya mizuka, timu mbovu isiyo na fomesheni wala possession, timu inayosindikiza madume ya mamba super cup ni Kesho!mama anunui ushindi ananunua magoli,hata wakitoka 2-2 mshiko wa Simba upo palepale.
coverage atakayoipata Simba kesho ulimwenguni ni zaidi ya hiyo hela ya mama.nafasi ambayo Yanga hamtaipata miaka bilioni mia😅😂
NAKAZIA MKUU.Nafasi ya Simba kujulikana Dunia nzima kuwa ni timu ya mizuka, timu mbovu isiyo na fomesheni wala possession, timu inayosindikiza madume ya mamba super cup ni Kesho!
Nawatakia Al Ahly ushindi wa 5G Kesho inshallah mji utulie kimyaaaa!!
Naamini kesho kwa Mkapa mpaka half time Aggr Al Ahly 3 - Simba 0!
Mi nitakaa zangu pale gizani kama kawaida Buza kwa Mpalanger nitawasubiri Makolokwinyo mje kushtaki baada ya kukandwa 5G!
Kesho Hatutaki mshangao, lawama wala kumuangushia Robertinho jumba bovu! Mkishakandwa wote tuseme hapo ndo uwezo wenu ulipoishia!
Kweli Simba wote Mbumbumbu mwenye akili ni mmoja tu Rage, yaani hata hujui kuwa Simba imetumika kama Guinea Pig, timu ya kufanyiwa majaribio na kufanya amsha amsha za mashindano mapya ambayo huko mbele yatahusisha timu 24 na Yanga ikiwemo! Kweli mashabiki wa kolowizard hamna kitu kichwani!
Simba imetumika Kwa vile Ina mashabiki wengi hamnazo na lengo ni kuipandisha hadhi Al Ahly kwa kuikanda Simba inayojaza uwanja!
Wewe itakuwa lugha ya Malkia imekupita kushoto! Kuna jamaa kwenye kipindi Azam nadhani ni Afisa wa CAF ametoa ufafanuzi mrefu sana in English kuhusu kuanzishwa hayo mashindano na huko mbele yatakuwaje!!