Wenye dhambi nzito tukutane hapa

Mi nina swali moja. Wakati ulipokua unafanya hayo matukio, ulikua unajiskiaje?
Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha yanasonga
 
Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha ya

Baada ya tukio nilikuwa naumia baadae nawaza hata m23 wanaua watu bila makosa napiga moyo konde maisha yanasonga
Kwa sasa vipi, unaamini kabisa kua huwezi kufanya tena tukio la ajabu
 
Chai
 
Labda kama unatania lakini kama ni kweli basi tambua wewe sio una dhambi tu zisizosameheka bali wewe ni mjinga aliyepitiliza, mvivu, kilaza na mpumbavu asiye na akili mwenye roho mbaya na katili asiyejitambua.

Unatembeaje na mke wa mjomba wako? (mbona vibinti vikali vibichi vyenye viuno nyigu vimejazana mitaani?)
unalazimisha vipi mwanamke ambaye hakutaki? (na bila shaka alikukataa sababu alikuona huna akili.)
Unatembeaje na mtoto wa miaka 14 darasa la 6? (wanawake wote hao watu wazima, wanaotafuta waume tena hata humu wapo na wale wanaouza je?)

Na mwisho kabisa unauaje mtu kwa million 2? kwanini usitafute vya kwako?

Sisupport wizi wako lakini inaonesha wazi rafiki yako alikuwa mshamba hivyo wewe ungefungua tu account kwa jina lako mngeweka pesa alafu ungeenda tu kutolea benki nyingine au kibandani na rafiki yako ungemuacha kwenye mataa au mngerudi mpaka kijijini na wewe ungemuaga kirafiki tu au ungeondoka zako lakini ungemuachia maisha yake.
Njia simple hiyo hapo inayohitaji akili za kuvukia barabara pekee na sio za kusolve calculus wewe njia rahisi umeona ni kumchoma visu vya shingo na wewe kujichoma visu vilevile?

Such a Fukcing bitchheaded motherfukcing psychopath.
 
Kama ni kweli siwezi kukuhukumu ila Karma sasa ndio haiwezi kukuacha na kama huna Watoto ni bora usiwe nao maana utawafanya warithi mikosi yako vizazi na vizazi.
 
Ukimwaga damu ya mtu huwezi kupata amani hadi unakufa. Hata watu wakufichie siri Kivipi utajikuta unaropoka tu siku moja.

Wewe utakuwa mtu wa kanda ya ziwa.
 
Kama ni kweli siwezi kukuhukumu ila Karma sasa ndio haiwezi kukuacha na kama huna Watoto ni bora usiwe nao maana utawafanya warithi mikosi yako vizazi na vizazi.
Laana ishaanza na unaona kaanza kuropoka mwenyewe. Nafsi inamsuta na ndio maana kana kusema kutafuta nafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…