Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Wasukuma hawana spirit hiyo
Angekuwepo jiwe kufanya confession yake, pengine tungebaki midomo wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasukuma hawana spirit hiyo
Itakuwa ni mzani tu, hakuna uzuto unaopimwa kwa rula😂Uzito wa dhambi unapimwa ns nini?
Hapana, sio kama huyu. Trust me huyu jamaa atakua na kadi ya CCM
"dhambi kama jabali ,kwenye hazipimwi" -kwa sauti ya Crazy GKWeee dhambi zetu zinapimika na mzani tu, huyu jamaa dhambi zake anazibeba kwenye tipa.....[emoji23][emoji23][emoji23] Mi na wewe hatuna dhambi oooh hallelujah
Na watu wamejaa kwenye box, amejua jinsi ya kuwachota[emoji23]Sioni ukweli hapa mtoa Uzi kaamua kucheza na akili zetu
Nimeogopa jina linasadifuAiseee
Kumbe ndogoSasa hizo nazo ni dhambi??
Mtihani sana1.Shirki (ushirikina)-umo
2.kuua bila hatia -umo
3. Uzinzi -umo
Aisee..