Wenye dhambi nzito tukutane hapa

[emoji17][emoji17][emoji17]nmesisimka mwili
 
Kumbe mimi mbinguni ntaingia sasa

Kuzini tu! Kumbe kuna watu wana dhambi hivi
 
Kazi Imeanza
English Please!!
Which Is Talking?
HakiElimu
 
Duh jamaa una roho y kinyama sijawah ona hatari Sans[emoji119]
 
Dah!! Jamaa ni bonge la jambazi...

Kumbe sina dhambi wazee
 
aiseee kwa hiyo akileta mwingine kama kawaa mzee unaruka nae
 
Ila naamini kila mtu ana dhambi yake konki ambayo kusema kweli anaona aibu kuisema mbele za watu, huenda akazikwa nayo.
 
Ila naamini kila mtu ana dhambi yake konki ambayo kusema kweli anaona aibu kuisema mbele za watu, huenda akazikwa nayo.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Kifichoni kama hivi unamwagika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…