Wenye div 3 ya 15 na kuendelea hii inawahusu

Status
Not open for further replies.
selection teyari ,wanazungumzia wale hambao walikoswa kwenye round ya kwanza,ya pili na wale ambao hawakufanya marekebisho kwenye round zote,yaani walioandikiwa NO kwenye kozi zote,kimsingi bado wanaitaji watu ndo maana wameweka round ya tatu kwa waliokoswa na applicants wapya,kwa hiyo hata unaosema wana div3 ya 15 na kuendelea wana sifa na wameshachaguliwa tayari na vyuo vimeshawaizinisha ,rejea applicants walochaguliwa na st.joseph university wawewekewa matokeo yao kabisa kuna watu wana pts17.
 
gs haijumuishwi! S=0.5 kwa masomo yote co gs peke yake, kwa mfano ww c umesoma EGM ukipata Eco=E ,Geo=E ,Math=S Gs=f , utakuwa na 2.5! Gs haiesabiwi! Overr

convincingly
 
we jamaa acha kukurupuka ww 3 ya 15 wamechaguliwa kama unataka kuthibitisha hili angalia selection ambazo zmesha kuwa released acha kupasua watu kichwa ww
 
Nadharia za kitoto...huyu ana-point ngap geo=E ,math=E ,eco=F ,gs=s...kikawaida ni 2.5

hahaahaahaa mkuu @ xir jyerphy vitu vidogo kama hivyo uelewii! Nina wasi wasi na uelewa wakooo kijanaaa
 
hahaahaahaa mkuu @ xir jyerphy vitu vidogo kama hivyo uelewii! Nina wasi wasi na uelewa wakooo kijanaaa
Darius Njoo na jibu/utatuz fasaha ya hoja tajwa hapo juu ikiwa na evidence ya kutosha then tuone uelewa wa nani ni wakutiliwa mashaka
 
Last edited by a moderator:
Kama GS haijumlishwi kwann kuna coarse zna cut point kama 2.5 au 4.5 wakata E ina point 1?

We ndo kilaza sjaonaga ata kwenye kwenye guide book imeandikwa gs does not considered kwan kama upo PCM huwez pata S ya physics...Tafakar kilaza
 
We ndo kilaza sjaonaga ata kwenye kwenye guide book imeandikwa gs does not considered kwan kama upo PCM huwez pata S ya physics...Tafakar kilaza

hahaaahaaahaa jamaa kakariri kuwa S kwa ajili ya gs peke yakee
 
Darius Njoo na jibu/utatuz fasaha ya hoja tajwa hapo juu ikiwa na evidence ya kutosha then tuone uelewa wa nani ni wakutiliwa mashaka

sasa hata jinsi ya ku calculate cutting point hujui..!! ndo unataka kushindana na mm! By the way nifuate UCLAS pale
 
Last edited by a moderator:
Mazee GS inahesabiwa.Mf,ktk selection za civil engineering UD mwaka jana,GWAMAKA NJOBELO from Mzumbe aliandikiwa pts 14.5 na alikuwa na Phy-A,Chem-B,Adv/math-A,GS-S.Sa jiulize hiyo 0.5 imetoka wapi kama sio GS.
 
Mazee GS inahesabiwa.Mf,ktk selection za civil engineering UD mwaka jana,GWAMAKA NJOBELO from Mzumbe aliandikiwa pts 14.5 na alikuwa na Phy-A,Chem-B,Adv/math-A,GS-S.Sa jiulize hiyo 0.5 imetoka wapi kama sio GS.

mkuu Thema labda mwaka jana kwenu! Bt mwaka huu gs haisesabiki! Me nimethibitishaa hilo coz nimepata hiyo s ya gs lakin haijanisaidia chochote kwenye cuttng pnt zangu! Bt inapendezeshaa cheti
 
sasa hata jinsi ya ku calculate cutting point hujui..!! ndo unataka kushindana na mm! By the way nifuate UCLAS pale

Ukiona m-EGM wa ndanda yupo mtaani ujue huyo ni kilaza wenye nazo wapo jkt...by the wei kwa comb nlyosoma nkija UCLAS najitia najis mkaka....!!
 
Mazee GS inahesabiwa.Mf,ktk selection za civil engineering UD mwaka jana,GWAMAKA NJOBELO from Mzumbe aliandikiwa pts 14.5 na alikuwa na Phy-A,Chem-B,Adv/math-A,GS-S.Sa jiulize hiyo 0.5 imetoka wapi kama sio GS.

Waambie ww hawa vilaza labda watakuelewa
 
Kuna madem zng wa HGL hapo UCLAS k2 cha building economic acha waje wakukimbize GPA...me utankuta theatre pale MUHIMBILI nakusubir nkutoe utahira Darius

BE usome kwa HKL..never happen..angalia requrements za course..kuna engineering mechanics kule ni balaa..nakataaa katakata
 
Last edited by a moderator:
BE usome kwa HKL..never happen..angalia requrements za course..kuna engineering mechanics kule ni balaa..nakataaa katakata

hao HGE,ECA wenyewe wanafikiriwaaa kusoma hio BE sembuse HGL ya huyo demu wake! Dgo kadanganywaa, demu wake kamuona yy kilazaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…