Kama umetia 4 ya 26 alafu kama una C mbili katika comb uliochagua first basi tuombe mungu katika selection NA tujiandae kupigamapindi
mfano ulichagua pcb mwanzo alafu chem c bio c na phy d selection zikitoka ukiwepo usishangae kwani bado wanafunzi wenye 1 hadi 3 ni wachache.
KWANI USHAIDI UPO KWA WALE WA MWAKA JUZI KUNA WATU WAMEPIGA HIVI HIVI NA WAKACHAGULIWA SASA WAPO FORM SIX SO TUOMBE MUNGU TU KWENYE HIZO SELECTION.
mfano ulichagua pcb mwanzo alafu chem c bio c na phy d selection zikitoka ukiwepo usishangae kwani bado wanafunzi wenye 1 hadi 3 ni wachache.
KWANI USHAIDI UPO KWA WALE WA MWAKA JUZI KUNA WATU WAMEPIGA HIVI HIVI NA WAKACHAGULIWA SASA WAPO FORM SIX SO TUOMBE MUNGU TU KWENYE HIZO SELECTION.