Hauna ajira weweView attachment 451017View attachment 451018wewe mwenyewe nimekuzid uchangiaji jamii forum vp umepungukiwa nini mm kukuzid uchangiaji vp kesho hautakulaa
Our king??? I think is ur king
Nimeshaanga sana Leo.. Sijawahi kujua kuwa anamfollow mtu mmoja tu Instagram...
Cha kushangaza Hayupo katika Top 5.. Kazidiwa na Vanessa mdee hata Harmonize anakaribia kumfunika..
What's happening to our King Kiba?
Weee unadhan n ww ?Nani kukuambia DARASA Ndio mkali wa Bongo?
Nahisi Twitter so mtandao wa kijamii ni social networkAcha kudanganya Kanye West ana akaunti Twitter
Yeye so mwanaume afu hajaenda shuleee.Wewe unafanya nini hapa
Mkuu tafadhaliiii Mimi so mwanamkeeeeHivi kwanini nyie wanawake huwa mnapenda kufatilia habari za kijinga jinga?!
Tatizo kila mtu akiiingia JF anajiona ana akili sana.. Mbona Jukwaa la Great thinkers linadoda?
Hakuna sindano hapo mkuu...umechemka dogo
kuna potential figures dunia hii waliokufa na wanaoishi ambao kujua wanapenwa vipi u can not rely on followers
wangapi wenye access ya net? wangapi wanatumia smart phone?
huyo kiba ni Legend kuanzia Mrembo nakshi, mac muga, cinderela....karim, n.k angeanza kuwa na followers enzi hizo 2005+plus angekuwa nao wangapi? wengi wanae mioyoni mwao...talk about golden generation
kingine, lengo ni nini?
Kiba kadiri unapomwanzishia thread maana yake amekutawala, unamuwaza, unam feel, unamfuatilia...yakikujaa moyoni unatapika
kwa nn haukumsema ricch mavoko, juma nature? simply kwa sababu huwafuatilii
kisaikolojia Kiba amekutawala
unataka sindano ingine??
Umeishiwa vitu vya kushangaa? Wabongo bana...
Una uhakika au unaropoka tu.??[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kanye na Jay Z hawako kwenye mtandao wa kijamii hata mmoja