Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaaBado mnashangilia upuuzi??
Jana ndo nimeamini hata Mpumbavu anaweza kuwa raisi
Wapumbavu msivunjike moyo you too can be Presidents...
mi nipo, sema ni haya haya mambo mliyoshangilia yananipoteza vbySalama kaka
Umemisika ujue, kwa nini lakinii
Pole mdogo wangumi nipo, sema ni haya haya mambo mliyoshangilia yananipoteza vby
hahaha asantee sana..., angalau leo nimeitwa mdogo hizi shikamoo za mabarabarani zilinichosha ujuePole mdogo wangu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nafukua kaburi vipi wenzangu tuliofurahia ushindi kwa vifijo na vigelegele, twajionaje na hali?
We Linamo ndiye umefukunyua haya mambo, hahahaaah... HatariiBado una furahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haaaa nataka tu kujua bado wako na furahaaa[emoji28] [emoji28] [emoji28]We Linamo ndiye umefukunyua haya mambo, hahahaaah... Hatarii