Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Story za vijiweni zinadai gari ndogo zenye cc 2000 kurudi chini zinaanza kusumbua kilometa zikifika laki tatuNina gari Rav4 kili time ya mwaka 2000 plate namba ABB mpaka leo natembelea, imeshafikisha kilometa 223,320Km m. Hakuna fault yoyote nnayopata, dashboard haiwaki taa zingine zaid ya mafuta na mkanda.
Matatizo mengine yaliyopo ni madogo madogo tu yanarekebishika TOYOTA's don't die. Wenye gari zenye kilometa nyingi njoeni tushee uzoefu weka na picha ya dasboard yako [emoji116]
View attachment 2402826
View attachment 2402827
Kuna jamaa alikuwa anaona km laki 2 ni nyingi sana ila kwenye malori ukikuta hizo km laki 2 umeokota dodo hiyo.Hii XF bado ni mpya kabisa haifai kuiweka hapa!
Kwa kigari kidogo chenye mizunguko ya hapa na pale kugonga laki tatu kasoro sio mchezo mkuu!!Kuna jamaa alikuwa anaona km laki 2 ni nyingi sana ila kwenye malori ukikuta hizo km laki 2 umeokota dodo hiyo.
Naiona ABS ilee unaishi nayo.View attachment 2402829
Yangu ya 2009 DDA lakini imetembea hizo km.. haina shida
Gari ya 2009 km 85000? It's either hiyo gari ilikua inafugwa sana kule japan au madalali walichezesha hizo Km.Mi Yakwangu Dualis ina kawaida ya ku vibrate pale napo kanyaga mafuta nikiwa na overtake gari iliyo mbele yangu.
Msaada.
Gari ya mwaka 2009 Km 85000
Kama inatoa moshi wa blue, fundi akague ringi za piston au valve seals...Km 200k ,oil inapungua kabla ya serviceView attachment 2404227
Shida iko kwenye abs sensorsView attachment 2402829
Yangu ya 2009 DDA lakini imetembea hizo km.. haina shida
Una shida ya Abs !View attachment 2402829
Yangu ya 2009 DDA lakini imetembea hizo km.. haina shida
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?
Mkuu ina maana miaka minne umetembea km 2000 tu au macho yangu anaona vibaya. Me mwenyewe kagari kangu ni mizunguko ya town tu hapa na pale lakini kilometer hizonamaliza ndanj ya mwezi na nusu mpk miwili.Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?
Mkuu ina maana miaka minne umetembea km 2000 tu au macho yangu anaona vibaya. Me mwenyewe kagari kangu ni mizunguko ya town tu hapa na pale lakini kilometer hizonamaliza ndanj ya mwezi na nusu mpk miwili.
OOhh sawasawa mkuu, sikuona vizuriAmesema MWEZI wa Nne(4) SIYO Miaka!
Km 200k ,oil inapungua kabla ya serviceView attachment 2404227
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?