Wenye "high-mileage cars" tupeane uzoefu

Wenye "high-mileage cars" tupeane uzoefu

Nina gari Rav4 kili time ya mwaka 2000 plate namba ABB mpaka leo natembelea, imeshafikisha kilometa 223,320Km m. Hakuna fault yoyote nnayopata, dashboard haiwaki taa zingine zaid ya mafuta na mkanda.

Matatizo mengine yaliyopo ni madogo madogo tu yanarekebishika TOYOTA's don't die. Wenye gari zenye kilometa nyingi njoeni tushee uzoefu weka na picha ya dasboard yako [emoji116]

View attachment 2402826
View attachment 2402827
Story za vijiweni zinadai gari ndogo zenye cc 2000 kurudi chini zinaanza kusumbua kilometa zikifika laki tatu
 
147,000km na mataa kibao ya krismass
 

Attachments

  • Capture.JPG
    Capture.JPG
    5.7 KB · Views: 36
Kuna hii gari iko Japan Mtandaoni, inasoma 564,286 Km,
Ila wabongo wakikuagizia ikifika wanafuta hiyo 5 ya mwanzo Inabaki na 64,286Km [emoji23], Ukweli ni kwamba
Odometer za magari yetu mengi hazina Uhalisia kutokana na mazingira ya ununuaji wa Magari yetu. Gari ya Japani yenye kilometer Laki TANO ikifika bongo ikapunguzwa si rahisi kuigundua labda ufuatilie Import detail zake kwa umakini.
IMG_1428.jpg
 
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?
 
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?

Mkuu,
Hizo kilometa ni za kawaida sana , Asilimia kubwa ya magari yanayo nunuliwa Japan kuja bongo yana Zaidi 100,000 km ukitaka kuamini hilo angalia kwenye mitandao ya kununua hayo magari.
Yakifika bongo yanapunguzwa kilometer!
Na wafanya biashara wanahakikisha wananunua kitu kwa bei ndogo ili kwenye kuuza wapate faida.
Kwa kuwa asilimia kubwa magari yenye kilometer chache yanauzwa bei kubwa.
 
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?
Mkuu ina maana miaka minne umetembea km 2000 tu au macho yangu anaona vibaya. Me mwenyewe kagari kangu ni mizunguko ya town tu hapa na pale lakini kilometer hizonamaliza ndanj ya mwezi na nusu mpk miwili.
 
Mkuu ina maana miaka minne umetembea km 2000 tu au macho yangu anaona vibaya. Me mwenyewe kagari kangu ni mizunguko ya town tu hapa na pale lakini kilometer hizonamaliza ndanj ya mwezi na nusu mpk miwili.

Amesema MWEZI wa Nne(4) SIYO Miaka!
 
Mimi nilinunua Nissan Xtrail kwenye NGO moja walipata magari mapya wakaioffload nikajiokotea kwa bei chee ila ilikuwa na 115,456 Km's sasa ndio nailia misele ya kazini na Kanisani. Sasa ndio nimeifikisha 117,000Km's toka niichukue mwezi wa 4 mwaka huu. Je na yenyewe ni kuu kuu na milleage imeenda sana wakuu?

Yaani mwez wa nne km hizo tuu? Kweli gari ya home- jon-kanisani wakati mini hizo na zitumbua mwezi tuu [emoji23]
 
Back
Top Bottom