Wenye hofu ya kutekwa tukutane hapa

Wenye hofu ya kutekwa tukutane hapa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Jana nipo kijiweni kwetu na washkaji tunapiga story za MO jamaa mmoja akaanza kuhadithia jinsi zamani watu tulivyokuwa tunaogopa magari ya msalaba mwekundu Mara wanyonya damu Mara wachuna ngozi akaendelea kusema hata Sasa tutafika Zama hizo za kuishi kutekana.kwamba mwili wa binadamu ni deal Sana kuanzia viungo vyote na kwamba majambazi hao wakikuchukua wanachomoa kimojawapo Kama ni Figo au ini au sehemu za Siri wanapita hivi kwenda kuuza.halafu huku mtaani zinabakia tu story mara serikali mara sijui nini mara sijui utakuwa umejiteka ila ndo hivo utakuwa ushatangulia kinyama.toka asimulie hayo mambo Mimi pressure sijui ndo imeshuka nahisi kabisa moyo unasukuma damu taratibu Sana .usiku silali vizuri Wala Sina hamu ya kula.mawazo ni mengi Sina raha
 
Juzi mitaa ya Mbezi nahisi kuna watu walitaka kuniteka ila kwa kua najua kuvumilia shida zangu nikanusurika.

Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
 
Juzi mitaa ya Mbezi nahisi kuna watu walitaka kuniteka ila kwa kua najua kuvumilia shida zangu nikanusurika.

Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
Yani usirudie tena kuitwa hivyo ukaenda. Dunia imebadilika mno usirudie tena bora uonekane unaringa au ushushiwe matusi lakini sio kurudia kufanya hivyo.
Siku hizi kuna wezi wanaiba kwa kutumia magari, kuna wabakaji na watekaji. Walengwa ni wanawake sababu tunapenda penda magari. Yan mtu akikuita ona gari lake kama ukoma.

Kuna voice note flani ilisambaaga ya mdada mmoja na issue ya lift hukuipata??
 
Jana nipo kijiweni kwetu na washkaji tunapiga story za MO jamaa mmoja akaanza kuhadithia jinsi zamani watu tulivyokuwa tunaogopa magari ya msalaba mwekundu Mara wanyonya damu Mara wachuna ngozi akaendelea kusema hata Sasa tutafika Zama hizo za kuishi kutekana.kwamba mwili wa binadamu ni deal Sana kuanzia viungo vyote na kwamba majambazi hao wakikuchukua wanachomoa kimojawapo Kama ni Figo au ini au sehemu za Siri wanapita hivi kwenda kuuza.halafu huku mtaani zinabakia tu story mara serikali mara sijui nini mara sijui utakuwa umejiteka ila ndo hivo utakuwa ushatangulia kinyama.toka asimulie hayo mambo Mimi pressure sijui ndo imeshuka nahisi kabisa moyo unasukuma damu taratibu Sana .usiku silali vizuri Wala Sina hamu ya kula.mawazo ni mengi Sina raha

labda utekwaji wa mapenzi unao taka
 
Yani usirudie tena kuitwa hivyo ukaenda. Dunia imebadilika mno usirudie tena bora uonekane unaringa au ushushiwe matusi lakini sio kurudia kufanya hivyo.
Siku hizi kuna wezi wanaiba kwa kutumia magari, kuna wabakaji na watekaji. Walengwa ni wanawake sababu tunapenda penda magari. Yan mtu akikuita ona gari lake kama ukoma.

Kuna voice note flani ilisambaaga ya mdada mmoja na issue ya lift hukuipata??
Niliipata mama. Lift sipandagi kabisa. Naogopa mnoo. Wale nilikua nimesimama pembeni kuna madereva BajaJ na bodaboda na nikawa napiga mahesabu kabisa ikitokea wakashuka kunikamata kwa nguvu narukia wapi. Hata barabarani nikitembea nakuaga makini na magari yanayokuja njia yangu maana kuna mdogo wa mpangaji mwenzie na rafiki yangu alitakagwa kutekwa na gari barabarani SAA moja jioni. Nimekoma mbona. Nishasema acha MTU anione naringa ila ile hatari ya juzi siirudii tena.
 
Niliipata mama. Lift sipandagi kabisa. Naogopa mnoo. Wale nilikua nimesimama pembeni kuna madereva BajaJ na bodaboda na nikawa napiga mahesabu kabisa ikitokea wakashuka kunikamata kwa nguvu narukia wapi. Hata barabarani nikitembea nakuaga makini na magari yanayokuja njia yangu maana kuna mdogo wa mpangaji mwenzie na rafiki yangu alitakagwa kutekwa na gari barabarani SAA moja jioni. Nimekoma mbona. Nishasema acha MTU anione naringa ila ile hatari ya juzi siirudii tena.
Wengine unakuta hao wa bajaj nao wanajua huo mchezo. Juzi nilisikia pale dar free market kuna binti kidogo aibiwe pochi na majamaa kwenye gari. Zamani tulizoea wakwapuaji ni bodaboda siku hizi mpaka wenye magari tena unakuta dereva hb flani kumbe kibaka.

Yani dar sijui ipoje wanaume hawafanya kazi wanategemea kukwapua pochi za wanawake. Na saiv unakuta mtu kaweka simu kwenye nido hela kwenye tight ndani pochi ina used diapers tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine unakuta hao wa bajaj nao wanajua huo mchezo. Juzi nilisikia pale dar free market kuna binti kidogo aibiwe pochi na majamaa kwenye gari. Zamani tulizoea wakwapuaji ni bodaboda siku hizi mpaka wenye magari tena unakuta dereva hb flani kumbe kibaka.

Yani dar sijui ipoje wanaume hawafanya kazi wanategemea kukwapua pochi za wanawake. Na saiv unakuta mtu kaweka simu kwenye nido hela kwenye tight ndani pochi ina used diapers tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaaa.. Dawa yao hiyo kuwawekea uchafu tu. Inawezekana kweli wanajuana na hao watu.. Ila walikua na mGari mzuri ukiwa mpenda lift unabebwa kirahisi tu
 
Hahahahahaaa.. Dawa yao hiyo kuwawekea uchafu tu. Inawezekana kweli wanajuana na hao watu.. Ila walikua na mGari mzuri ukiwa mpenda lift unabebwa kirahisi tu
Ni kua makini sana. Hata mtu anayekusemesha semesha kwenye vituo vya daladala sio unaweza jikuta mabwepande
 
Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
i wish siku nikuone maana unaonekana uko bomba sana mpaka watu wanataka kukuteka??
 
i wish siku nikuone maana unaonekana uko bomba sana mpaka watu wanataka kukuteka??
Kwani wabakaji wanaangaliaga mwanamke Kama yuko bomba au anaweza akaliwa? Au wale wanaotumwa na mganga kalete kizazi cha mwanamke.
 
Kwani wabakaji wanaangaliaga mwanamke Kama yuko bomba au anaweza akaliwa? Au wale wanaotumwa na mganga kalete kizazi cha mwanamke.
nikweli lakini huyo anaonekana udenda ulimtoka wala hakuwa na nia ya kukuteka alikuzimikia tu mtoto wa tanga
 
nikweli lakini huyo anaonekana udenda ulimtoka wala hakuwa na nia ya kukuteka alikuzimikia tu mtoto wa tanga
Angekua MTU wa udenda niamini mi asingeondoa hata gari angeshanicheck.
 
Back
Top Bottom