Wenye kisukari, presha na vibonge(unene) huu ni uzi wetu

Wenye kisukari, presha na vibonge(unene) huu ni uzi wetu

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Hali hizo zote tajwa hapo juu,
Hazisababishwi na mdudu wa aina yeyote wala kuambukizwa na mtu.
Bali hutokana na mfumo wa kimaisha ndio hupelekea hali kama hizo kutokea.

Tiba yake ina mambo matatu.
1.chakula
2.mazoezi
3.dawa.
Katika uzi huu tutakua tukipeana habari na utaratibu wa tiba hizo mbili za mwanzo, ambazo ndio tiba pekee ambazo zinaweza kumfanya mtu aondokane katika hali ya kusumbuka kidogo na hali hizo tatu ambazo mala nyingi hufatana.
Na hata mtu kuwa nazo zote.

Je unafanya nini na ulikula nin leo, au unapanga kula nn leo?
Siku ya leo ulifanya kazi gani na kwa masaa mangapi? Au ulifanya zoezi gani?
HUU NI UZI WETU.

By Dr. Suriya
 
Nina maumivu ya mgongo nimejitahidi kulala sakafuni bila bila
Je yaweza kuwa pia ni shida ya mazoezi
 
Huu ni uzi wetu akiwemo Depal na ...wengineo

Wew je uzi huu unakuhusu????

Maana na sisi dalili zetu ni nyingi sana hata hiyo dalili na sisi huwa tunayo sometime.
Nina maumivu ya mgongo nimejitahidi kulala sakafuni bila bila
Je yaweza kuwa pia ni shida ya mazoezi
 
Kula Chakula cha Afya/Kula KiAfya na Mazoezi ni TIBA ya Yote hayo!
 
Watu wa aina hii mnashauriwa kutokula sana na mle kwa masharti vyakula mpendelee kula vyakula vya kuchemsha.
 
Vip nikila maandazi 5 na supu ya mbuzi
Nitakua nimekula sana?
Watu wa aina hii mnashauriwa kutokula sana na mle kwa masharti vyakula mpendelee kula vyakula vya kuchemsha.
 
Sasa uzi wa ushauri wa kiafya unauleta JF Chit chat!!
 
Dawa pekee ya kupunguza obesity (unene uliokithiri ni kufanya intermittent fasting, low carb diet na aerobic exercises, kama kuna mtu atakuambia kuna dawa yoyote anakudanganya tu.
 
Back
Top Bottom