Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loh!!! you have worsen things its like from frying pan to fire.......ningejua hicho kiingereza chako naweza kujigamba mtaa mzima.Contextual meaning that embazzef the phrase in that stanza can attribute to different aspent based on the view of the audience enhance your vocaburary base as much as you can appendiculatus hypabora political damagoga of east afican leaders,thats what i can say
DuhAna maanisha Uganda mtu mmoja Yaan Mseven amefanya hayo yote yaan kuwapa maziwa,Akawafundisha kukamua maziwa,Akawakamua,Akala na ngombe mwenyewe,Akamchuna ngozi na kuiuza kisha sasa anatafuta Kamba ya kufungia huyo n’gombe.
Sawa kwa upande wa kenya hujaeleza mkuu.Ana maanisha Uganda mtu mmoja Yaan Mseven amefanya hayo yote yaan kuwapa maziwa,Akawafundisha kukamua maziwa,Akawakamua,Akala na ngombe mwenyewe,Akamchuna ngozi na kuiuza kisha sasa anatafuta Kamba ya kufungia huyo n’gombe.
Kenya Moi Aliwapa maziwa,Mwai Kibaki aliwafundisha kukamilisha maziwa Uhuru akawa kuamua maziwa,Ruto kamla kabisa N’gombe mwenyeweSawa kwa upande wa kenya hujaeleza mkuu.
Hopeless!Contextual meaning that embazzef the phrase in that stanza can attribute to different aspent based on the view of the audience enhance your vocaburary base as much as you can appendiculatus hypabora political damagoga of east afican leaders,thats what i can say
Well, in the labyrinthine domain of ontological and epistemological deliberations, one may encounter an esoteric concatenation of ideations and conceptualizations, whose quintessential essence eludes the quotidian comprehension of the non-initiated. The ineffable profundities of such discourses are, by their very nature, encumbered with an enigma that resists facile elucidation.Loh!!! you have worsen things its like from frying pan to fire.......ningejua hicho kiingereza chako naweza kujigamba mtaa mzima.
Kwetu, Baada ya Mchungaji kufa mrithi kauza na zizi. Hata tukisema tuanze upya hatuna pa kuwaweka Ng'ombe.Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.View attachment 3045027
Ni ujumbe mahsusi sana huo unao karibia usahihi wa mambo yalivyo ndani ya nchi hizo.Sasa kwa upande wa kenya hujaeleza mkuu.
Nimeipenda hi, una akili ya kulinganyisha mambo......kwahiyo hatuwezi kufuga tena labda tuwafanyie kazi walio nunua mali zetu.Kwetu, Baada ya Mchungaji kufa mrithi kauza na zizi. Hata tukisema tuanze upya hatuna pa kuwaweka Ng'ombe.
Kwani mkuu wewe hujashuhudia awamu ya mkapa kikwete JPM na Mama sasa hivi, utupe conclusion ngombe wetu bado yupo na anatoa naziwa au kasha uzwa? Hukusoma comparative study?Ni ujumbe mahsusi sana huo unao karibia usahihi wa mambo yalivyo ndani ya nchi hizo.
KENYA:
Ujumbe unasema:: Moi aliwapa maziwa (sikubaliani na hili).
Kibaki kawaonyesha/wafundisjha jinsi ya kumkamua ng'ombe (hili kwa kiasi nakubaliana nalo)
Uhuru Kawakamua wakenya (badala ya kumkamua ng'ombe)? Ni vigumu kulikataa hili
Ruto yeye amekuja na kumla ng'ombe mzima mzima, kwamba hawana huyo ng'ombe tena. (Hili bado halijulikani, hasa baada ya kufumaniwa njama zake na vijana wa Gen Z)
Hiyo ya Uganda umekwisha elezwa kwa ukamilifu wake.
Sasa kazi kwako. Hebu tueleze hayo uliyo nayo kuhusu baada ya Mwalimu Nyerere.
Hawa wa Kenya hawakumtaja Mzee mwasisi wao alifanya nini. Pengine yeye aliwaletea maziwa toka nje badala ya kuwapa ng'ombe wao.
Huyu Moi sijui maziwa aliyatoa wapi, maana haijaelezwa kayapata wapi na kuwagawia raia wake.
Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.View attachment 3045027
Na wewe umeshindwa kutusaidia umeamua utukane tu, mbona huo sio ustaarabu bibie.......=mnitafsirie.
Jifunze kutumia "google translate" usihangaishe watu.
Mnazidi kujidhihirisha kuwa shule mnasomea ujinga.
Nimekutukana nini?Na wewe umeshindwa kutusaidia umeamua utukane tu, mbona huo sio ustaarabu bibie.......
Mimi binafsi napenda baadhi ya michango yako reasoning exposure, ila una nikera pale unapo tumia lugha chafu kujibu watu, sometime hupimi maneno unao tumia kwa watu, na umebeba taswira ya uislamu hapa jf.Nimekutukana nini?
Wacha tabia ya kuomba omba kila kitu.
Ujinga tuuoite ujinga.Mimi binafsi napenda baadhi ya michango yako reasoning exposure, ila una nikera pale unapo tumia lugha chafu kujibu watu, sometime hupimi maneno unao tumia kwa watu, na umebeba taswira ya uislamu hapa jf.
Lazima tutimie hekima kufikisha ujumbe kwa watu, maneno makali yanaleta chuki tu.Ujinga tuuoite ujinga.
Uislam hauna unafik wa kuremba na kubadili badili maneno.