Wenye kujua kiingereza tafadhari mtafsilie hili ili ni comment kwa upande wa Tanzania

Wenye kujua kiingereza tafadhari mtafsilie hili ili ni comment kwa upande wa Tanzania

Nimeipenda hi, una akili ya kulinganyisha mambo......kwahiyo hatuwezi kufuga tena labda tuwafanyie kazi walio nunua mali zetu.
Ndo manake tuna jukum la kutimua watu kwanza na mikataba yao ya hovyo ili tufanye ya kwetu sasa vinginevyo tutakua tunawanyia wao tu.
 
Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.View attachment 3045027
Tafsiri yake inasema hivi:
Kenya kwa sasa maziwa ni mengi mno yamewashinda kunywa, wanatualika twende kuwasaidia kunywa Maziwa.
Wakati wa Moi yalikuwa kidogo, ila kwa sasa ni mengi mno yamewazidi nguvu,.... l.o.l.
 
Kwani mkuu wewe hujashuhudia awamu ya mkapa kikwete JPM na Mama sasa hivi, utupe conclusion ngombe wetu bado yupo na anatoa naziwa au kasha uzwa? Hukusoma comparative study?
Wewe uliweka ahadi, timiza ahadi yako na sisi tutaweka tunavyoona wenyewe.
 
Hukusoma comparative study?
Hili nalo ni somo la kwenda kupotezea muda juu yake?

Hizi shule ndiyo maana tumefikia hapa tulipo sasa! Watu wanakwenda shule kupoteza muda tu.
 
Anamaanisha hayo yaliyofanyika kemya cha mtoto, nchini kwao(uganda) kuna mjuba huyo kafanya yote waliofanya viongozi wa kenya pekee yake, haitoshi kauza ngozi na kamba yenyewe anaitafuna pia. [emoji23]
Ruto si ameishia kumkula ng'ombe, museven yeye kaishauza ngozi na sasa anatafuna kamba yenyewe [emoji23][emoji1787][emoji1787]

Hiyo ni 1 army kubabake, show ya mtu mmoja.

Ila huku kwetu, wameshamkula ng'ombe, ngozi wameuza, kwato wameuza sasa wanatupaka sisi vinyesi vya marehemu ng'ombe [emoji23][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli wana tupaka kinyesi cha ngombe.
 
Back
Top Bottom