Ndo manake tuna jukum la kutimua watu kwanza na mikataba yao ya hovyo ili tufanye ya kwetu sasa vinginevyo tutakua tunawanyia wao tu.Nimeipenda hi, una akili ya kulinganyisha mambo......kwahiyo hatuwezi kufuga tena labda tuwafanyie kazi walio nunua mali zetu.
Tafsiri yake inasema hivi:Ni kipata tafsiri kamili ntaweza ku- comment kwa viongozi wa Tanzania huyu ngombe walimfanya je, baada mwl Nyerere.View attachment 3045027
Wewe uliweka ahadi, timiza ahadi yako na sisi tutaweka tunavyoona wenyewe.Kwani mkuu wewe hujashuhudia awamu ya mkapa kikwete JPM na Mama sasa hivi, utupe conclusion ngombe wetu bado yupo na anatoa naziwa au kasha uzwa? Hukusoma comparative study?
Hili nalo ni somo la kwenda kupotezea muda juu yake?Hukusoma comparative study?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli wana tupaka kinyesi cha ngombe.Anamaanisha hayo yaliyofanyika kemya cha mtoto, nchini kwao(uganda) kuna mjuba huyo kafanya yote waliofanya viongozi wa kenya pekee yake, haitoshi kauza ngozi na kamba yenyewe anaitafuna pia. [emoji23]
Ruto si ameishia kumkula ng'ombe, museven yeye kaishauza ngozi na sasa anatafuna kamba yenyewe [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni 1 army kubabake, show ya mtu mmoja.
Ila huku kwetu, wameshamkula ng'ombe, ngozi wameuza, kwato wameuza sasa wanatupaka sisi vinyesi vya marehemu ng'ombe [emoji23][emoji1787]