Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
π§ππ‘πππ‘ππ πͺππ‘π¬π ππ¨π§π¨π π π ππ¨πππ¨π π ππππππ¨ π π§ππ‘πππ’π‘π ππ¨πππ ππ§πͺπ
Ongezeko la watumiaji wa intaneti Tanzania imezongezeka kutoka mwaka 2023 kwenda 2024/2025, huku zaidi ya watu Milioni 33.3 wanatumia intaneti ni sawa na asilimia 53.5% ya watu wote waliopo Tanzania.
Ongezeko hilo limepelekea watu wengi kutengeneza maudhui mbalimbali mtandaoni ili kujipatia pesa au kuburudisha jamii, wengine kuhelimisha nk lakini asilimia kubwa ya watumiaji wengi wa kitanzania wamekua wakituma maudhui ambayo sio mazuri kabisa.
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali wimbi la maudhui yasiyofaa mtandaoni yanayosambazwa yakionyesha baadhi ya mambo yasiyofaa.
Dkt. Gwajima amesema mfano kuna mtu alionekana kwenye mitandao ya kijamii akisambaza maudhui ya kuuza figo za mtoto, mwingine anamuuza mtoto, mwingine akionyesha kuandaa vinywaji na vyakula vichafu na kuwauzia watu mbalimbali maeneo ya k/koo.
Maudhui mengine ni wale wanaotuma kuonyesha watu wanafanya mapenzi ya jinsia moja, wengine wakitangaza fursa za kupiga hela mtandaoni kumbe utapeli. Hivyo Dkt. Dorothy Gwajima amewataka wanaoandaa maudhui mtandaoni kuandaa maudhui ambayo ni manufaa kwa jamii.
Sio kila mtu wa kuandaa maudhui wengine hawana hata Elimu lakini ilimradi na yeye hatume tu taarifa mtandaoni aache mara moja.
Ongezeko la watumiaji wa intaneti Tanzania imezongezeka kutoka mwaka 2023 kwenda 2024/2025, huku zaidi ya watu Milioni 33.3 wanatumia intaneti ni sawa na asilimia 53.5% ya watu wote waliopo Tanzania.
Ongezeko hilo limepelekea watu wengi kutengeneza maudhui mbalimbali mtandaoni ili kujipatia pesa au kuburudisha jamii, wengine kuhelimisha nk lakini asilimia kubwa ya watumiaji wengi wa kitanzania wamekua wakituma maudhui ambayo sio mazuri kabisa.
Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali wimbi la maudhui yasiyofaa mtandaoni yanayosambazwa yakionyesha baadhi ya mambo yasiyofaa.
Dkt. Gwajima amesema mfano kuna mtu alionekana kwenye mitandao ya kijamii akisambaza maudhui ya kuuza figo za mtoto, mwingine anamuuza mtoto, mwingine akionyesha kuandaa vinywaji na vyakula vichafu na kuwauzia watu mbalimbali maeneo ya k/koo.
Maudhui mengine ni wale wanaotuma kuonyesha watu wanafanya mapenzi ya jinsia moja, wengine wakitangaza fursa za kupiga hela mtandaoni kumbe utapeli. Hivyo Dkt. Dorothy Gwajima amewataka wanaoandaa maudhui mtandaoni kuandaa maudhui ambayo ni manufaa kwa jamii.
Sio kila mtu wa kuandaa maudhui wengine hawana hata Elimu lakini ilimradi na yeye hatume tu taarifa mtandaoni aache mara moja.