RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Pumba tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishaacha kupakua x videos kitambo sana, sema TikTok na platforms nyingine ndo zinanirudisha nyuma. So huu uamuzi utanisaidia sana.Kwamba unahisi hili tangazo litazuia wewe kuingia xvideos?
Tiktok ni za wadada na watoto wa kiume under 20. Tuanzie hapo kwanza ili uachane na tiktokNilishaacha kupakua x videos kitambo sana, sema TikTok na platforms nyingine ndo zinanirudisha nyuma. So huu uamuzi utanisaidia sana.
Mwigulu naye ni under 20?Tiktok ni za wadada na watoto wa kiume under 20. Tuanzie hapo kwanza ili uachane na tiktok
We unaona yupo sawa mentally?Mwigulu naye ni under 20?
😝😆😂. Tuachane na hayo, nifanyeje nirudishe card ya Chaputa?We unaona yupo sawa mentally?
Dah mi sijui kwa kweli. Wengine wanasema uoe😝😆😂. Tuachane na hayo, nifanyeje nirudishe card ya Chaputa?
Wangeanzana mtu kama gigy money ambae huposti vitu vya hovyo kabisa.Dkt. Gwajima D fungieni mtandao wa Tiktok huu ni balaa jingine zaidi.
Kule watu wanakuwa live wakifanya mambo ya ajabu mfano tu kuna dada alikuwa live saa7 usiku anatoa no zake kwa wateja kuwa anauza kinyume na maumbile yake.Mbaya zaidi anawaonyesha namna atakavyokatika ukimpa 15k au50k mkatiko ni tofauti