Mzee wangu tulimpa majina mengi sana, farasi mweupe, mkoloni, mjerumani etc. Hii haitoshi kuonesha ukali wake ukizingatia alikua afisa mkubwa wa jeshi, nidhamu kwake ndio ilikua kila kitu aisee tumepigwa sana. Mzee sijui nimuelezee katika tukio gani jamani.
Kuna kipindi miaka ya zamani kidogo nikiwa darasa la sita/saba, kuna gazeti linaitwa alasiri walianzisha tabia wana chapisha mitihani ya majribio halafu kesho yake wanachapisha majibu. Hii nitakuja kuielezea pamoja na ile nilirusha baruti (ya plug) nyuma ya chumba cha mzee ukasikika mlio kama bomu [emoji2][emoji2], moto wake ni balaa.
Au sijui nihadithie ile ya mzee kuja kunikung'uta assembly shuleni makongo mbele ya wanafunzi wenzangu wote? Sema respect sana mzee wangu. I am who I am today because of you
Sent from my CPH2059 using
JamiiForums mobile app