[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]loohh!hii Kali kulikoo!!Kule tabora tena alikuwa kamanda wa ccm mkoa! Umenikumbusha mbali sana,sasa siku ile wanapitisha jina la magufuri si akaja na bango lake akalibandika ndani! Mimi bila kujua nani kaleta nikalibandua nikatupa kule na kuandika pale kikaratasi chagua chadema nikijua mama Ndo kaleta! Weeeeeeeee! Mbitiyaza.Ada ya mwaka wa mwisho alinilipia mama tena kwa kukopa kwenye vikoba!mpaka leo hata nisimsalimie mzee ndo furaha yake!
Nimegundua hawa wazee wametoka ukoo mmoja ninyiimiimi mzee wangu alikuwa hataki hata rafiki wa kiume yani anataka akuon wewe mwenyewe tu alikuwa ana neno moja marafiki wote ni wahuni
Uliona kama anakuonea hivi, ili baada la kupevuka kiakili ukaona mzee alikuwa sahihiNakumbuka miaka ya 2001 mama alikwenda Dar .
Sasa huku nyuma alimiacha mimi na ndugu zangu wa 3 .
Hapo njee kulikuwa na maua sasa mimi wakati wa kumwagilia nikawa nacheza na matope basi bwana baada ya hapo baba aka rudi home mida ya saa 5 usiku nusuru adondoke na jinsi nilivyochezea matope haloo mzee akaniamsha na kunihoji nami nikakubali ni kweli mzee nilichezea.
Mzee aliniweka mipira ile ya kuchotea maji haina idadi akaona haina maana ananipaka chumvu mwili mzima asiee
Alikuwa kama anachana na mikanda na alikuwa na mkanda upo na vi (viuvingo)Β²
Niliwekwa kinoma na hapo nilikuwa nimetoka kukata gogo aisee mzigo ulichotwa na nikamwagiwa live aisee hii siwezagi kuisahau na yeye sikuwahi kumweleza maana alinipiga na alinionea sana .
Mzee mpaka now anaakili sana na namkubali all because mpaka now siwezi kurudi home mida ya usiku kama sina ishu.
Nipo na self discipline kali sana.
Siwezagi kuvaa mlegezo kama watu wazima wenzangu wanavyofanya .
All in all bado namkubali sana even though alikuwa mtata hata kwa mama anawekwa mpaka kulazwa .
[emoji1787][emoji1787]true yaan wanavyopelekwesha hadi unajiuliza hivi ndo yule Dingi yangu bandidu ninayemjua mimi au
mana wanakuwa wa pole kupita viwango mbaya zaidi anafanyiwa vitu ambavyo wewe mwenyewe mwenye mtoto kimfanyia usingeweza wanawadekeza zaidi ya maraika
yaan utasikia tu acha nitakuchapa
kama kuna kiti chake cha uzee hakai mtu lkn huyo mjukuu wake anapanda na michanga tena wakati mwingne wanabanana hapo kukaa kiti kimoja
station ya tv anachagua yeye
wkt enzi nzake thubutuuuu uweke station unayotaka wewe wakati yeye yupo kwanza utaanzaje
Wengine wanapiga simu wanasema tuletee wajukuu kesho, hakuna mjadala hapo.Madingi wanaokubali kupelekewa wajukuu hao si wakali, wale wababe wa vita mjukuu akija asalimie na kusepa, hawana muda wa kulea mtoto na mjukuu!
Unasema mzee wako alikumwagia mavi?Nakumbuka miaka ya 2001 mama alikwenda Dar .
Sasa huku nyuma alimiacha mimi na ndugu zangu wa 3 .
Hapo njee kulikuwa na maua sasa mimi wakati wa kumwagilia nikawa nacheza na matope basi bwana baada ya hapo baba aka rudi home mida ya saa 5 usiku nusuru adondoke na jinsi nilivyochezea matope haloo mzee akaniamsha na kunihoji nami nikakubali ni kweli mzee nilichezea.
Mzee aliniweka mipira ile ya kuchotea maji haina idadi akaona haina maana ananipaka chumvu mwili mzima asiee
Alikuwa kama anachana na mikanda na alikuwa na mkanda upo na vi (viuvingo)Β²
Niliwekwa kinoma na hapo nilikuwa nimetoka kukata gogo aisee mzigo ulichotwa na nikamwagiwa live aisee hii siwezagi kuisahau na yeye sikuwahi kumweleza maana alinipiga na alinionea sana .
Mzee mpaka now anaakili sana na namkubali all because mpaka now siwezi kurudi home mida ya usiku kama sina ishu.
Nipo na self discipline kali sana.
Siwezagi kuvaa mlegezo kama watu wazima wenzangu wanavyofanya .
All in all bado namkubali sana even though alikuwa mtata hata kwa mama anawekwa mpaka kulazwa .
Kwa maelezo yake kamwagiwaππππUnasema mzee wako alikumwagia mavi?
AiseeSi wa kwetu kuanzisha tifu sometimes ilikuwa sio lazima ukosee. Alikuwa na uwezo wa kupiga nyumba nzima kisa mdogo wenu kafanya kosa na nyie mpo. Na alikuwa anaamini hisia zake sana, akihisi umezingua lazima uchezee kichapo hadi ukubali. Na akikuchapa anapomalizana na wewe lazima useme asante vinginevyo adhabu inaanza upya
πππMzee alikua anasema kama unajiona upo vizuri njoo tuzipange.
Alikua hapendi mtu anyoe kipara, kaka yangu akawa mbishi siku hiyo karudi home na kipara. Mzee akamwambia kimbia ukiona upo mbali sema tayari.
Jamaa akakimbia mzee anaona mdau anasogea tu hasemi tayari, akamuungia. Dakika kadhaa mbele tunaona kaka anarudishwa kabebwa begani.
Kufika home akaambiwa tuzipange, ghafla jamaa kapiga magoti analia anaomba msamaha.
Mzee akamwambia adhabu yako utakua unapaka kiwi kichwa hadi nywele ziote.
[emoji23]Mzee wangu tulimpa majina mengi sana, farasi mweupe, mkoloni, mjerumani etc. Hii haitoshi kuonesha ukali wake ukizingatia alikua afisa mkubwa wa jeshi, nidhamu kwake ndio ilikua kila kitu aisee tumepigwa sana. Mzee sijui nimuelezee katika tukio gani jamani.
Kuna kipindi miaka ya zamani kidogo nikiwa darasa la sita/saba, kuna gazeti linaitwa alasiri walianzisha tabia wana chapisha mitihani ya majribio halafu kesho yake wanachapisha majibu. Hii nitakuja kuielezea pamoja na ile nilirusha baruti (ya plug) nyuma ya chumba cha mzee ukasikika mlio kama bomu [emoji2][emoji2], moto wake ni balaa.
Au sijui nihadithie ile ya mzee kuja kunikung'uta assembly shuleni makongo mbele ya wanafunzi wenzangu wote? Sema respect sana mzee wangu. I am who I am today because of you
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Si wa kwetu kuanzisha tifu sometimes ilikuwa sio lazima ukosee. Alikuwa na uwezo wa kupiga nyumba nzima kisa mdogo wenu kafanya kosa na nyie mpo. Na alikuwa anaamini hisia zake sana, akihisi umezingua lazima uchezee kichapo hadi ukubali. Na akikuchapa anapomalizana na wewe lazima useme asante vinginevyo adhabu inaanza upya
Si wa kwetu kuanzisha tifu sometimes ilikuwa sio lazima ukosee. Alikuwa na uwezo wa kupiga nyumba nzima kisa mdogo wenu kafanya kosa na nyie mpo. Na alikuwa anaamini hisia zake sana, akihisi umezingua lazima uchezee kichapo hadi ukubali. Na akikuchapa anapomalizana na wewe lazima useme asante vinginevyo adhabu inaanza upya
Mimi nakumbuka siku ya mwisho dingi kunichapa.....alinikuta nasoma saa sita usiku yeye yuko nzwiiiii......akaniuliza kwa nini sijalala, nikamjibu huoni nafanya nini.....akajaa povu....akafuata fimbo kwani alikuwa anaziweka sehemu......akaanza kunitandika......nilitulia tuu, ila ikafika wakati nikasema leo lazima nimuonyeshe huyu mzee......niliikamata ile fimbo na nikaivunja vipandevipande.....kulikuwa na music system ya Phillips niliifuata na nikaivunja vipande vipande.......nikaenda kwenye kabati la vyombo....nililiangusha na almost vyombo vyote vya udongo vilivunjika.......ndio ilikuwa mwisho wa mzee kunichapa......
Basi shem atakubonda soonSijawahi kupigwa na baba nikiwa nyumbani.