Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Haaa Yan wewe kama mimi tu hivyo, na. Mzee alikuwa Mjeda pia mwenye heshima yake, kukuabisha popote haoni aibu. Makongo pia nilipita
 
Haaa Yan wewe kama mimi tu hivyo, na. Mzee alikuwa Mjeda pia mwenye heshima yake, kukuabisha popote haoni aibu. Makongo pia nilipita
Daah, kweli mkuu. Basi bila shaka tuliishi wote barracks either area A/C
 
Hahahaha aisee huyu Ni Mimi kabisaaaa yaani
 
mshua alikuwa Mjeda pia tulimbatiza jina la mzee Mbuzi hatari sana
Haswaa na wazee Kama Hawa kukisanua Ni muda wowote ule halafu huwaga Wana tabia ya kukuona Kama vile mzembe na mpumbavu tu kwake
 
DHU, mshua wako alikua mwanariadha? maana sio kwa kushindana mbio na mtoto na kumkamata
 
Aisee ninaye wangu Huyo hajawah kuappreciate kitu kwangu na anaamini katika akili yake tu ,Ila Kuna Siku alimzingua sister na sister Naye akamzingua ndo ikawa mwanzo wa kuheshimiana Hadi leo ,sisi wanyenyekevu tunakiona Hadi leo yaani wazee Aina hii hawazoeleki akiingia home anazoom makosa ili akuadhibu .
 
Majani ya ng'ombe au mboga za majani?
 
Kwa hii story nawaza watoto wako wakizingua itakuwa vipi, maana ni mtu wa action, hutaki ujinga na huna regrets
Hapa ndio tunasema Mpole Muogope
 
Alihisi kashaua brother
 
Aisee nimecheka sana hii story noa sana, yani dingi wako ana akili kweli maana kawafundisha kumuheshimu mke wako, hakutaka kuwadekeza kawafundisha kutafuta vya kwenu
 
hahaha , wanawake wengi huamini wanachosikia hata kama akili yake inamwambia unadanganywa mara nyingi huamua kumuamini .
 
Na imani hata ukipata kazi jeshini haitokuwa shida maana kawafundisha kuwa waadilifu
 
Dhu kwanini alimkata masikio mtoto wake?
 
hahaha ila hapa ulizingua mkuu, kweli akili za utoto
 
hujamkuta akiwa na wajukuu zake wanavyodekezwa
 
Ameen, uzidi kumpa faraja, kumnunulia zawadi na kumjulia hali mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…