Wenye "madingi" wakali tukutane hapa

Hahahahahhahahaha kweliii huyo alikuwa mjerumani
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji1][emoji1][emoji1] ukome kujifanya maza Theresa!
 
Daah we jamaa bhana.
 
Wakishua hadi simu za mezani[emoji13][emoji13]
 
Hahahaha!! Umenikumbusha mzee wangu nilikuja home na rafiki yangu mmoja hivi ambaye hajawahi kufika home sasa tukakutana na mzee ndo anatoka, tukamsalimia then akaniuliza kwa kirugha ingawa siwezi kutamka ila nakiskia aliniuliza "huyu rafiki yako sio mwizi huyu na mimi nikajibu sio"[emoji28] nashukuru jamaa hakuelewa mchezo daaah!! Hatari sana enzi hizo....
 
Dah Kiloleni Tabora umenikumbusha mbali sana. enzi hizo tunatoroka tunaenda Rufita Club 1997 kushangaa swimming pool mkirud home tu ni kipigo cha hatari
 
Hahahah imebidi tu ni qoute japo maelezo marefu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1], nimecheka hadi nimepaliwa mtori!
 
sisi mzee wetu anatajwa kuwa mzee mkoloni zaidi ya mjerumani, tunamuita miko jackson yeye magoma mwanzo mwisho,
akirudi nyumbani usiku kama mlikuwa mnapiga stori itabidi muondoke mmoja mmoja kwenda kulala.
hyu mzee hanaga stori yy ni kipigo tu haijarishi ni mkubwa kiasi madam ni mtoto wake ukiingia anga zake unapokea kichapo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…