BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hapo kwenye juhudi uchwaraWavivu msiojua maana ya kufanya kazi
Wengi wenu mnaunga mkono juhudi uchwara
Duuh!!!Wavivu msiojua maana ya kufanya kazi, wengi wenu mnaunga mkono juhudi uchwara.
Wamiliki wa magari ni watu wabinafsi, wachoyo na wakujikweza alafu mkikwama kwenye tope mnaanza kuona umuhimu wetu.Wavivu msiojua maana ya kufanya kazi, wengi wenu mnaunga mkono juhudi uchwara.
Swala la wakati tu.
nakaziaWamiliki wa magari ni watu wabinafsi, wachoyo na wakujikweza alafu mkikwama kwenye tope mnaanza kuona umuhimu wetu.
Nunua yako uwe unagawa lift kwa kila mtuWamiliki wa magari ni watu wabinafsi, wachoyo na wakujikweza alafu mkikwama kwenye tope mnaanza kuona umuhimu wetu.
Asili ya maisha ni kusaidiana na kutegemeana kila mmoja kwa wakati wake anamhitaji mwenzake sema ni muendelezo wa unafiki wa Binadamu.Kila mtu apambane na hali yake, mjini hatuombagi lift, me hata mtu akisimama kunipa lift kama simfahamu nachomoa hakuna kuaminiana tena cha bure mjini shikamoo, unaweza ukataka mserereko ukaishia kutatuliwa malinda bure
Sitagawa kwa kila mtu Bali kwa wale wenye uhitaji.Nunua yako uwe unagawa lift kwa kila mtu
Unajuaje kuwa umetoka salama una vipimo vya corona kwako? Usisingizie vitu ambavyo havipo kutetea ubaya wa roho yako afu gari yenyewe Passo.Nitoke nyumbani salama halafu jioni nirudi na corona kisa nimetoa lift....! Hiiiiiiii aliyo bhagosha.
Our day will come.. Leo mnatuona majanga kisa vigari vya kijapan vyenye kushinda garage.Lifti na akupe na korona ilivyo tawala; atakaekupa ni mjinga Wa mwisho! Kanyaga kwa mguu! Bora ungeomba nauli lakini siyo lifti!
Kwanza watembea kwa mguu wengine majanga tu! Mnapanda na viwembe mnachana siti cover!
Kanyaga tu kwakweli
Wewe endelea kusubiri tukwame ila lift hupati.Wamiliki wa magari ni watu wabinafsi, wachoyo na wakujikweza alafu mkikwama kwenye tope mnaanza kuona umuhimu wetu.
Wavivu msiojua maana ya kufanya kazi, wengi wenu mnaunga mkono juhudi uchwara.