BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Leo nimeomba lift magari zaidi ya matano na hakuna hata moja lilothubutu kusimama na chanzo cha kuomba ni kutokuwa na nauli ilinibidi nianze hamza kanuni huku nikisikiliza nyimbo ya Samba Mapangala - Dunia tunapita.
Je, wenye magari mnatuonaje watembea kwa miguu kiasi cha kutunyima lift?
Je, wenye magari mnatuonaje watembea kwa miguu kiasi cha kutunyima lift?