Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Usijali, si unajua ukichanganywa na shemela kisha unasoma jujuu bila kuelewa unaropoka tu usijali
Inaonekana unajali sana,unajua kumlea mume na naamin shemej anafaidi mahabati matamu.[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5].
Ulweso upo juuuuu.
 
Kwa taarifa yako, humu JF wapenzi wa kweli na wanaogegedana kweli wala hawajoinyeshi humu, ni mwendo wa "kimya kimya" tu. Ishu zao wanamaliza PM. Wanaoitana hapa baby sjui swirrie etc etc ni mbwembwe tu!
 
Kwa taarifa yako, humu JF wapenzi wa kweli na wanaogegedana kweli wala hawajoinyeshi humu, ni mwendo wa "kimya kimya" tu. Ishu zao wanamaliza PM. Wanaoitana hapa baby sjui swirrie etc etc ni mbwembwe tu!
kumbe hapa kuna Riwaya ya kina Ngoswe na Mazoea,, na mzee Ngengemkeni Mitomingi [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16]
 
Kiukweli hapa nawakilisha KE/ME tulio hatuna viburudisho,, tunapata wivu pale mnapoanza kuoneshana mahaba ktk status zenu,, kiukweli tunabaki kujichekesha tu ktk status zenu,,, tupotupo tuu,,, yaaan

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Wee mtu unatumia picha ya sura yangu please itoe haraka sana
 
Wapo tena ukibahatika unapata marafiki wazuri sana...
Wengine humu ni ke lakini wanajificha kwa I'd na tabia za kiume...yaani kumjua ni mpaka mzoeane sana na ahakikishe kama wewe unajielewa!
Utasterehe...good company...
 
Back
Top Bottom