1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona kuna wengine wanaplay game tu...mtu ana id mbili,moja ya me na nyingine ya ke,anajitongoza mwenyew anajikubalia mwenyew na ile id ya ke.....maisha yanasonga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yupi huyooooKwann ww yule sio wako yule..[emoji27]
Sio Smart911 lakini...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji2]Mbona kuna wengine wanaplay game tu...mtu ana id mbili,moja ya me na nyingine ya ke,anajitongoza mwenyew anajikubalia mwenyew na ile id ya ke.....maisha yanasonga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Usafir huo wakat unaelekea piemu kutongozaaakaaaaa
Kazi yote hiyo yann na ulivyo mashaAllah kweli wa kuhangaika na mi ID miwili miwili kama mganga wa kienyeji jamanii,.looh jolly jolly akutake radhi kwa hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakufwa shoo
dah aisehYakikushinda hata haya maigizo kutafuna kwelu kweli utaweza?
Si mambo ya kuanzisha id mbili ke na me[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwanini lakin kunifanya nipaliwe?
hata ya kisigino babaWe vumilia pass inakuja mzee baba
Kujipa moyo zaid unakuja na id mbil jfUpweke ukizidi kama hauna mbebez kumbatia mito
[emoji23] [emoji23]Siyo IST maneno yakooo tu alafu humu ni kama Biko unaweza kutongoza ukakutana na TUKiNAO hahhh
Tamu ya mzeee baba Jr anafauduuu sanaSijambo mdogo wangu tamu yake kaka angu mm
hazard si mfuko utatobokaUkifanikiwa nakununulia ferrari
Na kama mito hamnaUpweke ukizidi kama hauna mbebez kumbatia mito
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kali ya mwakaaaaYani unalogin na id ya shunie unajiambia "i love u so much husband"
Unalogout afu unalogin na id ya Davet unajijibu "i love u too my wife shunie"[emoji23] [emoji23] [emoji23]
GilEsISi mambo ya kuanzisha id mbili ke na me
Yule bwanaaa anabonge LA churaaayupi huyoooo
CodesUpweke mbaya..huonag wengine wanakuja na wapenzi wakufikirika humu? Na kutaja initial zao tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] simtaji
Cha Mdako wa Jr[emoji23]Cha mdeko wa Jr