Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Hahahaha wonderful lucky men au sio[emoji23] [emoji23] '[emoji106] [emoji106] [emoji106] ataeninyapulia smart wangu hakii namtoa uti wa mgongo [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Bwasheee si ana huo uwezo?? Kuitoa kabisa spinal cord [emoji23] [emoji23]


Cc Smart911
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha wonderful lucky men au sio[emoji23] [emoji23] '[emoji106] [emoji106] [emoji106] ataeninyapulia smart wangu hakii namtoa uti wa mgongo [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Bwasheee si ana huo uwezo?? Kuitoa kabisa spinal cord [emoji23] [emoji23]


Cc Smart911
aiseeeeh, kumtoa nn? [emoji115]
 
ila hazard kwa nn hupigi pass fupifupi,? nataka zile kampa kampa tena, alafu nadriball kama natoa alafu ghafla nafinyia kwa ndani, au unamwogopa jollie
 
Kiukweli hapa nawakilisha KE/ME tulio hatuna viburudisho,, tunapata wivu pale mnapoanza kuoneshana mahaba ktk status zenu,, kiukweli tunabaki kujichekesha tu ktk status zenu,,, tupotupo tuu,,, yaaan

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kiongozi itoee hiyo picha kwenye profile yako ni yangu please mara nyingine tena
 
ila hazard kwa nn hupigi pass fupifupi,? nataka zile kampa kampa tena, alafu nadriball kama natoa alafu ghafla nafinyia kwa ndani, au unamwogopa jollie
Hii kauli ya jela inakuita ivi kumbe hua ipogo kiukweli ukweli ee
 
Back
Top Bottom