Wenye mahusiano yanayojulikana ndani ya JF wanapitiaga wakati mgumu sana

Wenye mahusiano yanayojulikana ndani ya JF wanapitiaga wakati mgumu sana

Nitabaki kuwa Kasie Matata.

Mtata hatari hasa kwenye mahaba.

Ukiniletea motoo mie naumwagia majivu ili wote tupate joto.

Ukinipa mahaba utakula raha za Tanga.

Pamoja na matata yote... kuna Simba mmoja tuu ndo amefanikiwa kunipelekea moto, uzuri wake huwa namwambia ukweli wangu wote, ananijua fika na mie hata sihitaji kumjua akiwa mbali na upeo wangu anafanya nini na anafanya na nani....

Mahaba yake tuu vurugu vuruguu. .. uchokozi uchokoziii fujo fujoo basi.mie kwatuuu

Ukipita kusoma hapa Nyali, upokee busu lako matata Muah! !
Duuuuuh hatari hiiii
 
Ukiona mtu anajitangaza kuwa ana fedha mfano Dr Shika jua ana visenti tu vinapiga kelele mfukoni. Mwenye noti huwa zipo kimya. Ukiona hapa JF mtu anasema mpenzi wangu ni fulani member wa JF jua kuwa ni inferiority complex hiyo na hata k zinatolewa kwa mbinde! Ulaji wa k huwa kwa kificho na huwa wa hatari. K nzuri inaliwa gizani, jiulize kama unaweza kumuona mtu gizani.
Duuuuh
 
Back
Top Bottom