Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Huku anachangulia tu na kuondoka,mda mwingi yupo wsp,mtoto anahasira na maisha yuleJolie Jolie mbona hatumuoni"" umemficha wapi "" ?? au ndio kesha anza " kutafuna udongo na maembe mabichi "mixer ndimu kwa wingi"""
haya ....bhanaaa""Huku anachangulia tu na kuondoka,mda mwingi yupo wsp,mtoto anahasira na maisha yule
AiseeehWifi please niweke wazi usiniandikie jwa code. Njoo hata pm unipe ubuyu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] muache bwanaReal Madrid ewaaaaah
Khaaa jamanHaki gani atiii jana ulipewa
[emoji23][emoji23][emoji23]Linawezekana kwelii?!...mmh me sidhani kama ntaweza[emoji56]
Hahaaa. Mleta uzi akikujibu nitag tafadhali Mkuu.Kumbe Hajar amewahiwa .
Abeeeeh
Hivi unaanzaje kupretend jamani eti watanionaje jf wananijua mm mnuno unaendelea mpaka jf sinaga hizo mambo mm za kutaka kufurahisha wakina Fulani mfyuuuuuSiwezi ku-pretend mm..
Nakazia mnaachana unaendelea na mwingineKwa faida ya nani??
Mbona kuachana ni jambo la kawaida??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyawezi maigizo
Shunie mbona hujamtaja mwenzie?
Nimemuita aje kusoma hii nyuzi
Akimtaja uniite
Sijui kalala
Kalala maana si kwa shangwe zile za Jana
Niko hapa mie jamaniLazimaaa
WoyoooooooooooNimemuweka kwa box yeye mwenyewe anamjua
Huyo ndo mwenye id ya L h namjua sana
Wifi please niweke wazi usiniandikie jwa code. Njoo hata pm unipe ubuyu
Jamani sipendi code mm wakunyumba kama ulienda pm ukuje uniambieNataman nikupe nyoka huyo hatari kuweni makini
Watu mapritenda ww achaaa...me nayaishi maisha yangu yanayonipa raha all i care is ma happiness...huwezi furahisha kila mtu kwanza utajifia mapema kabla ya siku,maisha yenyewe mafupi haya uhangaike na IDs fekelo[emoji23]mfyuuuuHivi unaanzaje kupretend jamani eti watanionaje jf wananijua mm mnuno unaendelea mpaka jf sinaga hizo mambo mm za kutaka kufurahisha wakina Fulani mfyuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha yalivyo mafupi halafu matamu jamani kila mtu apambane tu na hali yakeWatu mapritenda ww achaaa...me nayaishi maisha yangu yanayonipa raha all i care is ma happiness...huwezi furahisha kila mtu kwanza utajifia mapema kabla ya siku,maisha yenyewe mafupi haya uhangaike na IDs fekelo[emoji23]mfyuuuu
Halla babe-gal[emoji23][emoji23]life is too short mwe!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha yalivyo mafupi halafu matamu jamani kila mtu apambane tu na hali yake
[emoji482][emoji482][emoji482] cheers babe [emoji8][emoji8][emoji8]Halla babe-gal[emoji23][emoji23]life is too short mwe!!!!
Drink to that babe[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482] cheers babe [emoji8][emoji8][emoji8]