Wenye majengo walipe wenyewe kodi ya jengo

Kwa mtindo huu akina Mwigulu wamejitengenezea njia ya kuweza kujijengea mijengo mingi ya kupangisha wakijua sisi tusio na uwezo tutawalipia kodi za majumba yao.
Anayejua hawa akina Mwigulu wanaolipiwa makazi, umeme, maji na watumishi wa nyumbani wao watalipaje hii kodi aje hapa aeleze.
 
Lakini hivi pia ni kwanamna gani watafahamu meter hii iko kwenye jengo lipi ambalo ikwatwe kiasi sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…