tokazakoMwambie Roya ninatibu Kisukari, Bigirita tayari :rip: wamemuwekea magogo
dah, na wanaoitwa digidigi je? tutabia twao tukoje?
we ni Rose? na Preta ni nani?
hao dawa yao ni kuwahamisha meza tuVina kelele na usumbufu mwingi...ila havina madhara....ukivitishia kwa kupiga mguu chini vinakimbia kwa spidi ya mwanga....thats all...
heheheeeeeeeeeeee... hao ukienda states ndio wanaongoza kwa umbeya na poowwweeederrrr!!!
hayo majina mzee ni kama zena, sikitu na sikudhani
yaan sweeeeeeetie uyo anapenda ata mijusi..mwache tu!!!!1Unapenda hata jogoo?
Vina kelele na usumbufu mwingi...ila havina madhara....ukivitishia kwa kupiga mguu chini vinakimbia kwa spidi ya mwanga....thats all...
ugali wa muhogo unawafaa sana wagonjwa wa vicukarima dear roy naomba niruhusu basi niende nikakutayarishie chakula basi...achana na ivi vidg dig ...uwai kurud nyumban
asi unajua vidig dig havianaga pakuwai..so visije vkakuchelewesha bure apa
..nkapike nin?ni pm plsssssssssssss dig dig wasije wakajua wwakapiga hod bure wakat tunakula manake kwa kudowea awa mweeeeeeee hawafai.......!!!!!!
ugali wa muhogo unawafaa sana wagonjwa wa vicukari
ugali wa muhogo unawafaa sana wagonjwa wa vicukari
Yesu krustu na babake!!!Kelele kelele kelele......:doh::doh::doh:
hahaaaaaaaaaaaaaa hahaaaaaaaaaaaaaa we bwana chiboko..kwa kuingilia nyumba za watu tu ahhhh aujambo!!!!!!!ugali wa muhogo unawafaa sana wagonjwa wa vicukari
tokazako
roy wang haumwi kitu
yupo mzima mazima taslimu daima dawamu!!
mshndwe na mlegee wwewew na uyo mfalme wako (mfalme wa dig dig teamo)kwwa kumtakia ugonjwa roya wangu
Na juice ya machungwa[/QUOTE
hahha hahaha hah!!!!! wai air pot uko!!!!11
Yesu krustu na babake!!!
Unataka kunikumbusha vuvuzela
Roger that... i didn't mean that wayHehehee.....
Watch out for a ban....i wasn't here!
aaaaaah jamani...mimi mbona jina langu ni Rose na niko kwenye ndoa miaka 12 sasa na tunapendana sana na mume wangu na wala haijawahi tokea tukatishiana kuachana na wala haitatokea....
hao cha mtoto dada zao ni akina Lilly......weeeee yupo moja hapa mtaani ni balaaa tupo
Yani mnataka kusema mwanangu ni balaa? Maneno yako yashindwe na yalegee.hao akina lily unaowajua wewe ni wa kichina.Orijino ni watulivu,wapole,wemaa n.kmmmewasahau akina Lilly.............hao vipp