Pole mwaya nadhani hakujua ZD anamtoto anaitwa Liy:lying:Yani mnataka kusema mwanangu ni balaa? Maneno yako yashindwe na yalegee.hao akina lily unaowajua wewe ni wa kichina.Orijino ni watulivu,wapole,wemaa n.k
Experience ningekuuliza weye mi nachungulia tu nisije kuangukia huko.....kwanza mi ugomvi sipendagi!!!There are currently 36 users browsing this thread. (17 members and 19 guests)
Comrade naona unachungulia hapo any experience?
Shauri yako mie nkiulizwa ntasema ile siku ............ :rain::smile-big:
aaaaaah jamani...mimi mbona jina langu ni Rose na niko kwenye ndoa miaka 12 sasa na tunapendana sana na mume wangu na wala haijawahi tokea tukatishiana kuachana na wala haitatokea....