Kufuatia mgomo wa wenye malori kupinga tozo ya 5% na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dr. Magufuli kuwa wenye malori waondoe malori yao barabarani na kuyapaki majumbani mwao, Wamiliki hao wamemkaba koo Dr. Magufuli na kumwita kuwa Dr. Magufuli ni muongo.
Kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima [10 Okt. 2013], Mkurugenzi wa Consolidated Ltd, Karim Radha, alisema kuwa, madai ya Dr. Magufuli kuwa wenye Malori wanataka faida kubwa ndio maana wanapinga tozo hiyo ni uongo, na badala yake Dr. Magufuli aseme kuwa anaogopa barabara zake HAZINA VIWANGO, hivyo zitaharibika!
MY TAKE
Ni ukweli kuwa barabara zetu haziba viwango, ni mbovu, na hazijengwi kwa viwango stahiki.
Kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima [10 Okt. 2013], Mkurugenzi wa Consolidated Ltd, Karim Radha, alisema kuwa, madai ya Dr. Magufuli kuwa wenye Malori wanataka faida kubwa ndio maana wanapinga tozo hiyo ni uongo, na badala yake Dr. Magufuli aseme kuwa anaogopa barabara zake HAZINA VIWANGO, hivyo zitaharibika!
MY TAKE
Ni ukweli kuwa barabara zetu haziba viwango, ni mbovu, na hazijengwi kwa viwango stahiki.