BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Baada ya kumpiga kitu cha ubumbuwazi yule naibu waziri wa madini nadhani muda si mrefu atarejea jukwaani. Mission accomplished
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo mshamba sanaWe nae kila siku thread za mshana watu wanakujibu yupo na jf anaingia angalia last seen yake mbona kawaida tu kupotea jf ukiwa busy na mambo yako
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Wasiojulikana nini wamemchukua?
Nipo kaka.Mkuu upo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wananionea saanaHivi kwanini watu wanapenda kumuhusisha Mshana Jr na uganga wa kienyeji???
Kinamponza ufahamu wake ( consciousin-mind) au ni kweli hizi tuhuma, (anafanya uganga?) japo natambua kuna theory ukiwafundisha watu watakugeuka na kukuita mwanga kwa kuwa walishakalilishwa kila kitu ni uchawi.