Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
Conservative gvt haiwezi kukubali mkuu, siunaona hata sekta ya kuzalisha umeme na maji imekuwa ikifanywa na serikali tu.
Wanajua kabisa wakiruhusu ushindani kutoka sekta binafsi basi Tanesco na idara ya maji zitajifia kama Ttcl inavyojifia baada ya kuruhusu sekta binafsi kuwekeza kwenye suala la mawasiliano ya simu.
Wanajua kabisa wakiruhusu ushindani kutoka sekta binafsi basi Tanesco na idara ya maji zitajifia kama Ttcl inavyojifia baada ya kuruhusu sekta binafsi kuwekeza kwenye suala la mawasiliano ya simu.