Pre GE2025 Wenye Ndoto za Kugombea Urais Tanzania anzeni kupiga mahesabu ya mwaka 2040, Baada ya Samia anafuata Dkt. Nchimbi labda mambo yaharibike njian

Pre GE2025 Wenye Ndoto za Kugombea Urais Tanzania anzeni kupiga mahesabu ya mwaka 2040, Baada ya Samia anafuata Dkt. Nchimbi labda mambo yaharibike njian

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Habari ndio hiyo Samia kumpendekeza Emanuel Nchimbi kuwa makamu wake haijaja kwa bahati mbaya.

Mipango imeshapangwa na imepangika vyema.
 
Mwenyezi Mungu ndio waga anaamua jui ya hila za CCM.
 
Unaongea kama unajua kwa hakika kesho itakuwaje.
Samia alijikuta raisi wa JMTZ ghafla bila kutegemea.
Anaweza asife mtu na ikatokea 'kajiuzulu' kaachia kiti huyo mtu.
Au
God forbid, yasiyo fikirika mfano machafuko yakatokea akalazimishwa kuondoka madarakani.
 
Back
Top Bottom