Uchaguzi 2020 Wenye nguvu tuandike tusije laumu baadae hatukutimiza wajibu wetu

Uchaguzi 2020 Wenye nguvu tuandike tusije laumu baadae hatukutimiza wajibu wetu

Katika aya ya pili umesema kuwa 'wanataka kutuziba masikio tusisikie ukweli unaosemwa'
je ukweli unasemwa au unaonekana?
Kama unasemwa tu na baadhi ya watu ambao wanajaribu kujitetea kutokana na hali ya maisha iliyopo basi upo sahihi.

Lakini ninanchoweza kusema ni kwamba ukweli wa hali ya mbaya maisha ndiyo ukweli unaoonekana na siyo ukweli unaosemwa na hao unaowasikiliza bila kuhusisha akili yako.
 
Simply RUBBISH! SHAME ON YOU!
 
Unajengaje Uchumi wa watu wakati unawaibia hela zao za nyongeza za Mishahara? Hili ni takwa la Kisheria siyo hiyari ya Kihutu

Unajengaje Uchumi wa Watu kwenda Kujenga Uwanja wa Ndege kijijini kwenu, akajenga mtozi mwenzio, na hela akalipa Mtoto wa Dada yako? This is a serious conflict Of interest, tutamnyoosha huko mbele ya Safari, hakuna marefu yasiyo na ncha...na KUMBUKA MCHUMA JANGA HULA NA WANAWE!
 
Hawa jamaa baada ya tarehe 28 oct sijui wataweka wp sura zao. Kitakuwa nikipigo cha mbwa koko. Magufuli 5 tena
 
Back
Top Bottom