Wenye nguvu ya kupotezea kuchapiwa ni wachache na hao ndio wanaume

Tatizo ni uhusiano alionao na huyo mchepuko wake.

Hukawahi kusikia mke anamuua mume kisa mchepuko, anaanza dharau, anauza mali za familia , magonjwa nk.

Matokeo baada ya lile tendo ndo tatizo.
Implications au sio🤣🤣🤣 hii nayo ni mjadala kwa sababu inawezekana ikawa ni hisia zenye muktadha wa fedheha
 
Msaliti hasamehewi. Awe mke/ mpenz au partner wa kibiashara.

Yesu Kristo hakumsamehe msaliti Yuda Iscariot, kwanini mimi nimsamehe msaliti?
jambo lingine linalofanya watu wasamehe, unakuta wife kachepuka, ila kwa upande wako ushafumaniwa mara kibao, au haujawahi kufumaniwa ila mtaani huko una michepuka hata miwili mitatu wife hajui. nafsi inakusuta kwamba wewe na yeye hamna tofauti wote wadhambi tu. ila kwa yule mwaminifu, akichapiwa damu lazima imwagike.
 
Aaah the fuct that mwanaume mwengine amechezea nyeti zake hapo tayari ni mabadiliko,

Acha masikhara yahee
amekaa kwenye mahusiano tena wengine wameishi pamoja na mwanaume mwengine miaka 7, wewe umeoa umeishi naye miaka 2 na una wiiivu kumbe wapo wanaume wamechezea sana hizo miaka mingi zaidi yako.
 
Na mbaya zaidi hata baada ya kusamehena hakuna amani, mana every time, jambo ulotendewa lina pop up,
May God forbid but for me, i won't tolerate it anyhow.
It requires self assessment on the same, fair is dual sided
 
amekaa kwenye mahusiano tena wengine wameishi pamoja na mwanaume mwengine miaka 7, wewe umeoa umeishi naye miaka 2 na una wiiivu kumbe wapo wanaume wamechezea sana hizo miaka mingi zaidi yako.
Sasa hiyo ni historia, ametembea nao akiwa hayuko kwako, hukua na haki nae,

Usaliti ni pale anapokua yuko hatika himaya yako.
 
amekaa kwenye mahusiano tena wengine wameishi pamoja na mwanaume mwengine miaka 7, wewe umeoa umeishi naye miaka 2 na una wiiivu kumbe wapo wanaume wamechezea sana hizo miaka mingi zaidi yako.
Just like a man's dick to other women 🤣🤣🤣
 
pia, ukifikiria sana, unaona hakuna tofauti. unakumbuka enzi za ujinga, unafukuzia mdada aliyechumbiwa na mtu, unajua analiwa lakini na wewe unakula tena kavu na unaenda hadi chumvini.
 
Yeah very interesting argument
 
Just like a man's dick to other women 🤣🤣🤣
nakumbuka chuo kuna jamaa aliishi na mwanafunzi mwenzie kinyumba miaka yote 3, alipomaliza akaachana naye, best friend wake akamchukua yule aliyeachwa akaoa kabiwa. jamaa huyu wa pili alikuwa na moyo kwasababu alikuwa anakuja kumtembelea jamaa yake sometimes anajua jamaa anamla huyo mwanamke aliyekuja kumuoa. kumbe ile kitu huwa haibadiliki, kinachobadilika ni moyo tu. wala haina haja ya kufanya maamuzi magumu kama atakubali kubadili tabia.
 
Huu ni ukweli mtupu, unajua kuna nyuzi humu zinasema Mwanamke anayechepuka aweza kukuua, lakini vijijini unakuta Hali kama uloielezea.

Nikahitimisha kuwa Mwanamke mchepukaji wa kukuua, ni yule aliyekuchoka kabisakabisa na akawa amempenda Kwa dhati Mwanaume wa nje...

Vijijini Wanawake wanashindana kuchepuka na wanadumu kwenye ndoa...
 
kama hujui, uke una thamani kuliko uume. kuuona uke ni jambo baya kuliko kuuona uume. that's natural.
Balance vitu, angalia Binti heshima yake kabla hajalala na mwanaume na Kisha baada ya kutoka nae kingono kama heshima inabaki ni ileile ndio utaelewa, aibu ni aibu tu, imagination haina faida you assume you see something that you don't see , sex haina umwamba wala ubora labda katika dhana ya fikra za unyani
 
unajifariji tu. ndio maana Mungu alituumba kwamba tulale na wale tuliowaoa tu ili aibu zetu zibaki kwenye ndoa tu. ukilala na yeyote ni kinyume na maagizo ya Mungu na ndio maana imaginations zinabaki kwasababu umejianika kwa mtu siye.
 
kama pisi kali inatoa smell chonganishi naisamehe apoapo na kumkabidhi mgoni wangu niliemsubiri kwa muda mrefu kunipokea mzoga ili kusudi nae akapambane nao. na i hope ntakua nimetima hekima na busara .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…