Wenye nguvu ya kupotezea kuchapiwa ni wachache na hao ndio wanaume

Wenye nguvu ya kupotezea kuchapiwa ni wachache na hao ndio wanaume

though ukiangalia sana, hakuna kilichobadilika, uchi unabaki katika hali ile ile tu. izo nyuchi unaweza kutwanga hadi ukachubuka lakini unabaki katika hali ile ile tu, ni limfuko fulani tu linaloweza kubeba chochote na likabaki vilevile. sema utu na heshima ndio inafanya tuone ni kitu cha maana sana hadi kusababisha matatizo makubwa kwenye jamii. ile trust na utu uliochanganywa na ubinafsi. mbona kama kuziona na kuzishika, hospitali madaktari wanaingiza hadi mavidole na mikono, akipona anakuja kwako mnaendelea tu.
You are trying to make peace with this, ni kitu kizuri ila elewa kuwa you deserve better, acha kujustfy cheating.... Elewa wanawake wengi wanacheat kwa mapenzi kwahiyo if it is recurring then she is not yours.
 
You are trying to make peace with this, ni kitu kizuri ila elewa kuwa you deserve better, acha kujustfy cheating.... Elewa wanawake wengi wanacheat kwa mapenzi kwahiyo ifit is recurring then she is not yours.
siwezi kujustify cheating, ni dhambi. ninachojaribu kuwaelewesha ni kwamba, msamaha ni wa muhimu ikitokea, samehe saba mara sabini, kwasababu mwili ni ule ule, roho tu imepoteza trust ila mwili unabaki uleule tu. kutengana siku zote huwa kunaleta madhara kwa pande zote mbili, mtendaji na mtendewa na watoto na hata mali mlizochuma. ukifikiria hayo na hasa ikizingatia kwamba na wewe ushacheat, unaamua kusamehe na kukubaliana kutorudia kwasababu hakijabadilika kitu kwenye mwili wa mwanamke wako, uchi ni ule ule tu haujaondoka.

nadhani hii ndio inawafanya baadhi ya watu wenye wivu uliofika chuo kikuu wafe mapema. wengine hawataki hata daktari tu wa kiume ahudumie mkewe, kwenye uchi ambao hakuukuta bikra. ajabu sana.
 
Kama mwanadamu sina tofauti na wengine wote. Mwaka huu wa 2023 nimekutana na hadithi nzuri sana zenye kujenga japo ni visa vya kusikitisha sana, kisa cha kwanza jamaa kanihadithia namna alivyomfumania mke wake akinyanduana na mjomba wake ambae ni kaka wa Mama yake mzazi. Aliwakuta live akaita mashahidi wakashudia na hakufanya chochote si kupiga si maneno. Huyu mhanga kwa maelezo yake anasema nguvu na upeo wa kuhimili vimetokana na Shule na nasaha kutoka kwa Babu mzaa baba yake.

Kisa cha pili huyu Mwamba mkewe amenyanduana na baba yake mdogo nae kawakuta live, Cha ajabu huyu wa pili aliwaomba radhi kwa aibu Ile nae pia alikuwa na mashuhuda kadhaa.

Baada ya kukaa na hawa rafiki zangu wote nyakati tofauti na kupata hadithi hizi mbili nimejifunza mengi mengi sana.

Mbususu isiwe sehemu ya chanzo cha kukosa amani, kugombana na watu bali kubali ya kwamba mbususu ni sehemu ya starehe zenye ushirika katika starehe za wanadamu.

Sio rahisi sana ila ukipata msingi wa maarifa ya umuhimu wa ujinga na upumbavu katika kuishi maisha ya hapa Duniani ni rahisi sana kubeba hizi nguzo mbili. Ujinga na upumbavu.

Busara na hekima ni nguzo za ujinga na upumbavu wenye heri na baraka katika maisha yetu.

Nuru iliyo njema ni lishe ya nafsi na moyo thabiti.

Shukrani

Wadiz
Nakupongeza sana kwa kuilinda amani mkuu, iwe funzo kwa wengine kwa hili andiko
Ila kaa upande wangu sitoweza kuvumilia, burudani na stare ziko barabaran si nyumbani kwangu, yaan niangaike kumtunza, arafu sho anakuja kumega kimasihala
Amani haitakuwepo
 
Ukiona mume kammsamehe mke wake mchepukaji Hapo kuna mawili either mume hana nguvu za kiume au hana hela
Ila hiyo ya kwanza ndio zaidi
 
Mkuu mada yako ni nzuri sana inahitaji ukomavu wa mwili na akili sana, kwa mwanaume ukifika level hii hakuna jambo litalokuwa gumu kwako, Mimi ni mmoja kati ya wanaume waliofika level hii, sitasumbua akili wala mwili wangu kisa mwanamke amechapwa nje huu ujinga sitafanya mpaka naingia kaburini.
 
simpigi, simuulizi wala sitomfokea ila nitamuacha...

kuna makosa kwenye mahusiano, ukisamehe hata yule mkosaji anakushangaa....
 
siwezi kujustify cheating, ni dhambi. ninachojaribu kuwaelewesha ni kwamba, msamaha ni wa muhimu ikitokea, samehe saba mara sabini, kwasababu mwili ni ule ule, roho tu imepoteza trust ila mwili unabaki uleule tu. kutengana siku zote huwa kunaleta madhara kwa pande zote mbili, mtendaji na mtendewa na watoto na hata mali mlizochuma. ukifikiria hayo na hasa ikizingatia kwamba na wewe ushacheat, unaamua kusamehe na kukubaliana kutorudia kwasababu hakijabadilika kitu kwenye mwili wa mwanamke wako, uchi ni ule ule tu haujaondoka.

nadhani hii ndio inawafanya baadhi ya watu wenye wivu uliofika chuo kikuu wafe mapema. wengine hawataki hata daktari tu wa kiume ahudumie mkewe, kwenye uchi ambao hakuukuta bikra. ajabu sana.
Mwanaume hamuachi a cheating woman kwasababu ya mwili wake bali ni kwasababu ya heshima (respect). Mwanamke akikosa upendo hukimbia na mwanaume akikosa kuheshimiwe huondoka. You can never those natural characters between the two sexes.
 
Kama mwanadamu sina tofauti na wengine wote. Mwaka huu wa 2023 nimekutana na hadithi nzuri sana zenye kujenga japo ni visa vya kusikitisha sana, kisa cha kwanza jamaa kanihadithia namna alivyomfumania mke wake akinyanduana na mjomba wake ambae ni kaka wa Mama yake mzazi. Aliwakuta live akaita mashahidi wakashudia na hakufanya chochote si kupiga si maneno. Huyu mhanga kwa maelezo yake anasema nguvu na upeo wa kuhimili vimetokana na Shule na nasaha kutoka kwa Babu mzaa baba yake.

Kisa cha pili huyu Mwamba mkewe amenyanduana na baba yake mdogo nae kawakuta live, Cha ajabu huyu wa pili aliwaomba radhi kwa aibu Ile nae pia alikuwa na mashuhuda kadhaa.

Baada ya kukaa na hawa rafiki zangu wote nyakati tofauti na kupata hadithi hizi mbili nimejifunza mengi mengi sana.

Mbususu isiwe sehemu ya chanzo cha kukosa amani, kugombana na watu bali kubali ya kwamba mbususu ni sehemu ya starehe zenye ushirika katika starehe za wanadamu.

Sio rahisi sana ila ukipata msingi wa maarifa ya umuhimu wa ujinga na upumbavu katika kuishi maisha ya hapa Duniani ni rahisi sana kubeba hizi nguzo mbili. Ujinga na upumbavu.

Busara na hekima ni nguzo za ujinga na upumbavu wenye heri na baraka katika maisha yetu.

Nuru iliyo njema ni lishe ya nafsi na moyo thabiti.

Shukrani

Wadiz
huu mtego mimi mnitoe
 
mkuu, acha kunipotezea wateja wangu wa mapanga yaliyoNOLEWA,...
 
📌📌📌📌📌

missassi__20231115_50.jpg
 
Kama mwanadamu sina tofauti na wengine wote. Mwaka huu wa 2023 nimekutana na hadithi nzuri sana zenye kujenga japo ni visa vya kusikitisha sana, kisa cha kwanza jamaa kanihadithia namna alivyomfumania mke wake akinyanduana na mjomba wake ambae ni kaka wa Mama yake mzazi. Aliwakuta live akaita mashahidi wakashudia na hakufanya chochote si kupiga si maneno. Huyu mhanga kwa maelezo yake anasema nguvu na upeo wa kuhimili vimetokana na Shule na nasaha kutoka kwa Babu mzaa baba yake.

Kisa cha pili huyu Mwamba mkewe amenyanduana na baba yake mdogo nae kawakuta live, Cha ajabu huyu wa pili aliwaomba radhi kwa aibu Ile nae pia alikuwa na mashuhuda kadhaa.

Baada ya kukaa na hawa rafiki zangu wote nyakati tofauti na kupata hadithi hizi mbili nimejifunza mengi mengi sana.

Mbususu isiwe sehemu ya chanzo cha kukosa amani, kugombana na watu bali kubali ya kwamba mbususu ni sehemu ya starehe zenye ushirika katika starehe za wanadamu.

Sio rahisi sana ila ukipata msingi wa maarifa ya umuhimu wa ujinga na upumbavu katika kuishi maisha ya hapa Duniani ni rahisi sana kubeba hizi nguzo mbili. Ujinga na upumbavu.

Busara na hekima ni nguzo za ujinga na upumbavu wenye heri na baraka katika maisha yetu.

Nuru iliyo njema ni lishe ya nafsi na moyo thabiti.

Shukrani

Wadiz
Nashukuru kwamba mleta mada naye ni miongoni mwa hao anaodhania kwamba sio wanaume. Maana hakuna sehemu aliyoonesha kwamba anaweza kuhimili
 
Kanuni Yangu Kwenye issue za usaliti nikikufuma au nikiwa na ushahidi wa wazi.

1. Siulizi kwanini
2. Naaacha kukushobokea
3. Mapenzi na ww ndo yameishia hapo
4. Kama ni ndoa na process divorce.

NB: Hata mwanamke akinifumania, Utaratibu ni huo hapo, siombi msamaha wala sitaki kusamehewa
 
Kanuni Yangu Kwenye issue za usaliti nikikufuma au nikiwa na ushahidi wa wazi.

1. Siulizi kwanini
2. Naaacha kukushobokea
3. Mapenzi na ww ndo yameishia hapo
4. Kama ni ndoa na process divorce.

NB: Hata mwanamke akinifumania, Utaratibu ni huo hapo, siombi msamaha wala sitaki kusamehewa
Hii nimeipenda chief.
 
Waebrania 13
4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
 
Kukubali kuendelea kuishi na mwanamke asiyekuheshimu na asiye muadilifu ni Udhaifu.

Acheni kujifariji, Nyinyi ni Weak Men.
 
Mathayo 5
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

32 lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
 
Back
Top Bottom