Wenye nongwa na madukuduku mmekaribishwa na mkuu wa mkoa, Dar es Salaam kujadili mkataba wa Bandari

Wenye nongwa na madukuduku mmekaribishwa na mkuu wa mkoa, Dar es Salaam kujadili mkataba wa Bandari

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
 
Achana na walinda ugali.

Wananchi wote hawaitaki hiyo kitu isipokuwa tu walioko kwenye ugali. Wako tayari kulamba ushuzi wa Bi-TOZO ili tu ugali usipungue mezani.
Hawasomi na kuelewa, that mean wapo tu kama wamekatwa vichwa, wana erupt tu kufuata mkumbo.
SOMENI MUELEWE NINI KIPO!
Kuna mtu hapa jukwaani aliwahi sema tuna taifa la wajinga sasa naamini hili, MTU HAFAHAMU HILI WALA LILE ANALIPUKA TU. 😀😀😀
 
Achana na walinda ugali.

Wananchi wote hawaitaki hiyo kitu isipokuwa tu walioko kwenye ugali. Wako tayari kulamba ushuzi wa Bi-TOZO ili tu ugali usipungue mezani.
mbona mimi naukubali . mmeshaambiwa nendeni mkajadili kipengere kwa kipengere hamtaki. inamaana ninyi tushawashtukia mnatumika na kenya
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Kwa nini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa haikuitisha kikao kama hicho kabla ya kusaini Mkataba??
Hata kama wananchi watatoa madukuduku yao sasa hivi, Je, yatasaidia nini??????
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Yeye mwenyewe haelewi, atamwelewesha Nani amwelewe?
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Huyu Naye kashakengeuka
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Kwa mamlaka gani aliyo nayo?
Kama ana huo utayari si angeenda kuwapokea wale vijana walioandamana ili awasikilize kuliko alivyo watumia Polisi kuwakamata na kwenda kuwasweka Lupango?
Hii nchi kuna viumbe vinawaona wenzao ni Mafyonto sana.
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Kama Mkataba usha signiwa toka Mwaka Jana,Sasa mnachojadili ni nini!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hawasomi na kuelewa, that mean wapo tu kama wamekatwa vichwa, wana erupt tu kufuata mkumbo.
SOMENI MUELEWE NINI KIPO!
Kuna mtu hapa jukwaani aliwahi sema tuna taifa la wajinga sasa naamini hili, MTU HAFAHAMU HILI WALA LILE ANALIPUKA TU. 😀😀😀
Wapeelekeeni waarabu wenzenu wa Zanzibar wao wanaelewa hata mkiuweka kwa kiarabu au wao hawataki madolari ya bure
 
Kwa mamlaka gani aliyo nayo?
Kama ana huo utayari si angeenda kuwapokea wale vijana walioandamana ili awasikilize kuliko aluvyowatumia Polisi kuwakamata na kwenda kuwasweka Lupango?
Hii nchi kuna viumbe vinawaona wenzao ni Mafyonto sana.
Wangeomba kibali cha maandamano wangepatiwa tu 😬😬😬
 
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Ni wewe
Nimeona chanel ten mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam amewakaribisha wale wote ambao wangependa kuelewa nini kipo ndani ya mkataba wa mwendeshaji wa bandari yetu, mtausoma, kipengele kwa kipengele, na pengine hata kopi atakupatieni mkalale nazo ili mjiridhishe.

Nashukuru mama Samia kwa kuwa muwazi vinginevyo tawala zingine hazikuthubutu kuweka mambo haya wazi, ingepigwa juu kwa juu.

Asante Dkt Samia.

Twendeni tukausome tuache majungu ya mtandaoni au vikao vya siri vya kipumbavu.
Ni wewe tu hujausoma, wengine tumeusoma na kuona mapungufu yake. Mkuu wa mkoa ni mwanasiasa na siyo mtaalamu wa sheria au mikataba na hawezi kuwa na geni kuhusu huo mksataba zaidi ya kutetea bila kutoa majibu kwenye vifungu tete.
 
LUGHA ZA KISHERIA,
RIWAYA
HADITHI
USOMAJI WA KAWAIDA,
-Watanzania hasa chadema wote wamegeuka wanasheria,wanatambua lugha za kisheria.
 
Back
Top Bottom