BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Lipa kodi mkuu acha hasira, hiyo penthouse yako ungeihamishia dasalama kama ni rahisiHuyu mwenye nyumba natamani siku moja nimpandishe Super feo mpaka Namtumbo nilipotokea ili ajue mi ni mtu wa aina gani maana dharau zinazidi watu tulipotokea mitaa inaitwa kwa jina la familia na hata hatuvimbi hapa town tupo humble tu.
Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.
Narudia tena mshauri alipe kodi au aombe muda zaidi sio kumfariji kwenye hamnaUtasikia; "Unajua gharama ya mfuko wa saruji?"... Kumbe hawajui watu wanamiliki mansion, ni vile tu mijengo haihamishiki!
Huu muandiko wa HANGA🤔🤔🤔Sasa mkuu unamiliki penthouse halafu unataka kumpandisha super feo badala ya business class kwenye ndege? Ndio maana unadharaulika basi.
Alipe kodi, no way outSasa mkuu unamiliki penthouse halafu unataka kumpandisha super feo badala ya business class kwenye ndege? Ndio maana unadharaulika basi.
Kila mtu akae kwake, rudi namtumbo na mwenye nyumba abaki darHuyu mwenye nyumba natamani siku moja nimpandishe Super feo mpaka Namtumbo nilipotokea ili ajue mi ni mtu wa aina gani maana dharau zinazidi watu tulipotokea mitaa inaitwa kwa jina la familia na hata hatuvimbi hapa town tupo humble tu.
Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.
Acha upuuzi ww, si ujenge kakibanda kako na wwMtu kumiliki kakibanda Dar es salaam
Tafuta hela uache kujitangazaHuyu mwenye nyumba natamani siku moja nimpandishe Super feo mpaka Namtumbo nilipotokea ili ajue mi ni mtu wa aina gani maana dharau zinazidi watu tulipotokea mitaa inaitwa kwa jina la familia na hata hatuvimbi hapa town tupo humble tu.
Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.
Nijenge kakibanda wakati namiliki penthouseAcha upuuzi ww, si ujenge kakibanda kako na ww
🤣🤣🤣Lipa kodi mkuu acha hasira, hiyo penthouse yako ungeihamishia dasalama kama ni rahisi
Kelele za aina ipi hizo?Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.
My Queen am the incumbent the boldSasa mkuu unamiliki penthouse halafu unataka kumpandisha super feo badala ya business class kwenye ndege? Ndio maana unadharaulika basi.
Sasa namtumbo kuna uwanja wa ndege wa kutua ndege yenye siti za bizines class?Sasa mkuu unamiliki penthouse halafu unataka kumpandisha super feo badala ya business class kwenye ndege? Ndio maana unadharaulika basi.
Lipa kod kwa wakat na ulipe umeme unawakwaza wenzako acha nyenyenyeeeHuyu mwenye nyumba natamani siku moja nimpandishe Super feo mpaka Namtumbo nilipotokea ili ajue mi ni mtu wa aina gani maana dharau zinazidi watu tulipotokea mitaa inaitwa kwa jina la familia na hata hatuvimbi hapa town tupo humble tu.
Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.
Sasa hayo mambo si ukamwambie huyo mwenye nyumba wako.Huyu mwenye nyumba natamani siku moja nimpandishe Super feo mpaka Namtumbo nilipotokea ili ajue mi ni mtu wa aina gani maana dharau zinazidi watu tulipotokea mitaa inaitwa kwa jina la familia na hata hatuvimbi hapa town tupo humble tu.
Mtu kumiliki kakibanda Dar es salaam anajiona kama katoboa kelele nyingi kusumbua watu bila sababu za msingi.