MPANGAPANGA
Member
- Sep 11, 2024
- 82
- 103
Vp kuhusu dereva gari la umma kakamatwa na nyara za serikali linataifishwa gari au anaadhibiwa dereva?kwa sheria ipi ya kwako na mpangaji au sheria ya kitaifa ya wenye mamlaka walioshika mpini alafu utegemee kushinda kwanza utaweza kushindana nao.?
Mbinu za kibwege.Kuna mtu anatafutwa hapa.
CCM wana mbinu sana
Anatumia kifungu kipi cha sheria kusema hadi nyumba inataifishwa?Akizungumza na waandishi wa habari leo, Novemba 25, 2024, jijini Dar es Salaam, Kamishna Jenerali Lyimo alisisitiza kuwa kwa mujibu wa sheria, mali yoyote, kama nyumba au gari, ikikutwa na dawa za kulevya, itataifishwa.
Ngoja nifatilie undani wa hiyo Sheria Mkuukwa sheria ipi ya kwako na mpangaji au sheria ya kitaifa ya wenye mamlaka walioshika mpini alafu utegemee kushinda kwanza utaweza kushindana nao.?
Kuna haja sasa ya kutengeneza mikataba kwa advocateWamejilinda kwa maandishi madogo yenye kanuni, sheria na masharti.
Hivyo wenye nyumba mikataba iwe na kanuni, masharti na vigezo katika maandishi ili kujikinga na usumbufu au utapeli.
Relax, haiko automatic hivyo. Kuna mazingira ambayo mwenye nyumba nae anakuwa mshiriki hivyo kuhalalisha nyumba kutaifishwa, ila kama hahusiki nyumba haiwezi taifishwa.Wakuu,
Kama una nyumba sehemu kaa kwa chonjo kuna habari mpya huku kutoka DCEA.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewahimiza wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa waangalifu na wapangaji wao.
Alieleza kuwa baadhi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya wamekuwa wakitumia nyumba walizopanga kama maghala ya kuhifadhi dawa hizo, huku wao wakiishi sehemu nyingine.
Soma pia: Makonda: Ukichagua viongozi wa mtaa waaminifu wasiyojihusisha na madawa ya kulevya utaleta chachu katika ngazi hiyo
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Novemba 25, 2024, jijini Dar es Salaam, Kamishna Jenerali Lyimo alisisitiza kuwa kwa mujibu wa sheria, mali yoyote, kama nyumba au gari, ikikutwa na dawa za kulevya, itataifishwa.
Kamishna huyo amewataka wamiliki wa mali hizo kuhakikisha wanachukua tahadhari na kusimamia vyema mali zao ili kuepuka hasara na kuhusishwa na vitendo haramu.
Source: Wasafi FM
My take:
Mbona kama kuna watu specific wanatafutwa kwa tochi kupitia agizo hili?
1. Mimi kama mwenye nyumba ntajuaje kama mtu anaweka madawa ya kulevya ndani ya nyumba? Niweke CCTV au niwe nafanya doria za kushtukiza?
2. Hiyo nyumba ikishataifishwa inapelekwa kwa nani au taasisi gani?
3. Kama inaenda kwa serikali hamuoni kwamba kuna baadhi ya vigogo serikalini wanaweza wakatumia mwanya huo kupora nyumba za watu iwapo watazipenda?
4. Huo utaratibu wenu wa kutaifisha nyumba ni watanzania pekee au ni utratibu wa kimataifa? Ni mataifa gani yana utaratibu kama huo?
5. Hiyo sheria ya kutaifisha nyumba ambayo sio ya mtuhumiwa ipo kwenye ibara gani kwenye Katiba yru ya inchi?
Tutauna walah, hii sheria waifute haraka, hakuna atakaekubari nyumba yake itaifishwe kijinga, mimi nna nyumba huko mbezi nimepangisha, mwenyewe labda nakaa temeke, ntajuaje kama mpangaji wangu kaleta mifuko ya drugs nakuifadhi kwenye nyumba yangu? Wapitishe sheria sasa yakuwapa wenye nyumba haki yakukagua ndani vyumbani kwa wapangaji kila baada ya mwezi chini ya balozi.Kama wakiamua kukutaifishia wanakutaifishia tu mkuu.
Hii nchi ngumu sana
Labda ana maanisha bandari kuwa ilikutwa na madawa ndo ikataifishwa kwa wakoraWakuu,
Kama una nyumba sehemu kaa kwa chonjo kuna habari mpya huku kutoka DCEA.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewahimiza wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa waangalifu na wapangaji wao.
Alieleza kuwa baadhi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya wamekuwa wakitumia nyumba walizopanga kama maghala ya kuhifadhi dawa hizo, huku wao wakiishi sehemu nyingine.
Nini? Hebu "acheni" basi utani!Wakuu,
Kama una nyumba sehemu kaa kwa chonjo kuna habari mpya huku kutoka DCEA.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewahimiza wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa waangalifu na wapangaji wao.
Alieleza kuwa baadhi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya wamekuwa wakitumia nyumba walizopanga kama maghala ya kuhifadhi dawa hizo, huku wao wakiishi sehemu nyingine.
Soma pia: Makonda: Ukichagua viongozi wa mtaa waaminifu wasiyojihusisha na madawa ya kulevya utaleta chachu katika ngazi hiyo
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Novemba 25, 2024, jijini Dar es Salaam, Kamishna Jenerali Lyimo alisisitiza kuwa kwa mujibu wa sheria, mali yoyote, kama nyumba au gari, ikikutwa na dawa za kulevya, itataifishwa.
Kamishna huyo amewataka wamiliki wa mali hizo kuhakikisha wanachukua tahadhari na kusimamia vyema mali zao ili kuepuka hasara na kuhusishwa na vitendo haramu.
Source: Wasafi FM
My take:
Mbona kama kuna watu specific wanatafutwa kwa tochi kupitia agizo hili?
1. Mimi kama mwenye nyumba ntajuaje kama mtu anaweka madawa ya kulevya ndani ya nyumba? Niweke CCTV au niwe nafanya doria za kushtukiza?
2. Hiyo nyumba ikishataifishwa inapelekwa kwa nani au taasisi gani?
3. Kama inaenda kwa serikali hamuoni kwamba kuna baadhi ya vigogo serikalini wanaweza wakatumia mwanya huo kupora nyumba za watu iwapo watazipenda?
4. Huo utaratibu wenu wa kutaifisha nyumba ni watanzania pekee au ni utratibu wa kimataifa? Ni mataifa gani yana utaratibu kama huo?
5. Hiyo sheria ya kutaifisha nyumba ambayo sio ya mtuhumiwa ipo kwenye ibara gani kwenye Katiba yru ya inchi?
How can you prove that awareness?Acha kupotosha, umeleta habari nusu kwa makusudi. Ameeleza kwamba ni endapo mwenyenyumba alikuwa anafahamu na hakuripoti.., sasa hapo utaprobe vipi mwenye nyumba alikuwa anafahamu?
Mahakama hizi za kisutu ...aliyesema Rostam ni za kuelekezwa tu au Kuna zingine!!?Maneno ya Kanga hayoo Mahakama si zipo uwe na mkataba Tu ulionyooka Kati yako na mpangaji Over.
Haitokusaidia hiyo ...unakagua Leo mzigo hana ...fresh unaondoka kesho anaweka mzigo si unakuja kila mwisho wa mwezi!??....Tutauna walah, hii sheria waifute haraka, hakuna atakaekubari nyumba yake itaifishwe kijinga, mimi nna nyumba huko mbezi nimepangisha, mwenyewe labda nakaa temeke, ntajuaje kama mpangaji wangu kaleta mifuko ya drugs nakuifadhi kwenye nyumba yangu? Wapitishe sheria sasa yakuwapa wenye nyumba haki yakukagua ndani vyumbani kwa wapangaji kila baada ya mwezi chini ya balozi.
Kwa mfano mmefahamu mpangaji ndiye anayehusika na hiyo biashara na mmejiridhisha Kabisa kuwa ndiye haswaa!! Hapo nyumba inahusikaje? Kwa nini msidili na mhusika?Either wanitoe kwenye hiyo nyumba nikiwa maiti wamenibeba au niwaue wote nikafie jela ila sio rahisi Kama wanavyosema .