Castle lite na Serengeti lite ni hard liquor?wanapendaga castle lite na serengeti lite
Wewe bundi, vipi.Castle lite na Serengeti lite ni hard liquor?
Niliambiwa we ni wife material..😅Castle lite na Serengeti lite ni hard liquor?
Nani huyo kakudanganya?[emoji1787]Niliambiwa we ni wife material..[emoji28]
Freshy kijana, habari yako?Wewe bundi, vipi.
Ili ukamchambe! Simtaji.. ila hata mi nimejionea! Hakukosea yule Bata aliekwambia "atakaekuoa ......" Malizia hapo..🤣🤣Nani huyo kakudanganya?[emoji1787]
Wanzuki na ulanzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masikini wenzangu Sasa..lazima walewe tikatika wakikosa bia hata gongo watakunywa.
🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha juzi tu nilikuwa lituhi Basi huo ulanzi na wanzuki ulivyonywewa hatariiiWanzuki na ulanzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣uliyoyaona au unayoyaona sio sahihi🤣Ili ukamchambe! Simtaji.. ila hata mi nimejionea! Hakukosea yule Bata aliekwambia "atakaekuoa ......" Malizia hapo..🤣🤣
Sasa hapo nakusaidiaje ledada..?
🤣🤣🤣🤣 Umenikumbusha juzi tu nilikuwa lituhi Basi huo ulanzi na wanzuki ulivyonywewa hatariii
Wazee wa hennesy tujuaneWenye pesa wanakulaga tungi balaa lakini hawalewagi utakuta mtu anakunywa bia hata kumi anaishia kutingisha miguu tu uku stori za apa na pale zikiendelea sasa njoo kwa wale choka mbaya akipiga bia mbili tu kero kwa wengine.
Alafu wenye pesa wanarizikaga na bia wakipiga bia mbili uyo anaenda zake ila wale choka mbaya akipiga bia mbili anapata arosto ya bia apo ataweka bondi hata simu aendelee kunywa bia.