Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.
Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.
Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.