Wenye Pesa Mnaitwa: Mnada wa Number Plate Special za Magari kufanyika tar 5 April

Wenye Pesa Mnaitwa: Mnada wa Number Plate Special za Magari kufanyika tar 5 April

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
Screenshot_20250310-172336~2.png

Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.

Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
Screenshot_20250310-172355~2.png

Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
Screenshot_20250310-172351~2.png

All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
 
Kuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
View attachment 3265835
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.

Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
View attachment 3265830
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
View attachment 3265832
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Harmo awahi anunue ya tembo
 
Kuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
View attachment 3265835
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.

Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
View attachment 3265830
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
View attachment 3265832
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Watapewa na hadhi nyingine?labda kutolipia parking au kuoata hadhi ya VIP, Mfano maeneo ya airports etc
 
Back
Top Bottom