Harmo awahi anunue ya temboKuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
View attachment 3265835
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.
Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
View attachment 3265830
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
View attachment 3265832
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Shida ni yakiongezeka yanaenda wapi?Ubunifu wa kuongeza mapato
Wewe ni mwanamke, punguza kuongea-ongea kila mudaJaman iyo tembo kondeboy achukue inamfaa Kwa kweli bomboclat
Acha basi akati ndo hulka yetu 😹😹💃🏾Wewe ni mwanamke, punguza kuongea-ongea kila muda
😹😹Wewe ni mwanamke, punguza kuongea-ongea kila muda
Ata ungekuwa ni wewe, ungeyapeleka wapi hayo mapato?Shida ni yakiongezeka yanaenda wapi?
Watapewa na hadhi nyingine?labda kutolipia parking au kuoata hadhi ya VIP, Mfano maeneo ya airports etcKuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April.
View attachment 3265835
Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba.
Baadhi ya majina ni MASAKI, TEMBO, NYATI, NDOVU, KAHAWA, SWAHILI, FARU nk.
View attachment 3265830
Kilichonishangaza ni ili jina la SAFARI kwasababu naona limeshachukuliwa na wale wakali wa seat za kushonea Safari Upholstery.
View attachment 3265832
All in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Siwezi kuwa mimiAta ungekuwa ni wewe, ungeyapeleka wapi hayo mapato?
usijipe laana, waliopo wana macho mangapi?Siwezi kuwa mimi