Wenye Pesa Mnaitwa: Mnada wa Number Plate Special za Magari kufanyika tar 5 April

Wewe ni miongoni mwa watanzania wenye kejeli na hamna kitu, ilimradi muonekane mnahela humu jf. Mbwa mmoja tu ww
Daima huchukua mbwa mmoja kumtambua mbwa mwingine, hivyo basi, pasi na shaka wewe ni mbwa mwenzangu. Na kwa vile mimi ni mbwa dume basi hakika you are my bitch, mbwa wangu wa kike wewe.


Picha yetu ya honeymoon.
 
N
Umetupitisha chocho kama tunafka iv kumbe bdo. Kiufup bado hatujaelewa mkuu.
Hebu tufafanulie kwa faida ya wana jamvi
Ndio maana nikasema ni ngumu kuelewa kiundani umuhimu wa hizi personalised plate number, unaweza ona kama ufahari tu. Ila kila anayeweka ana nafasi yakuzidisha kipato chake maradufu. Yaani kama malaya unakua malaya mara kumi yake, kama mcheza upatu unakua unaaminika mara kumi yake, kama ni mmiliki wa viwanda, mmiliki wa tour travels sijui mmiliki hardware, everything changes. Inshort huu ni uwekezaji.
 
Wangetangaza milion 2 kwa mwaka kwa mtu anaetaka kuandika jina lake au title yake kwenye plate number wangetupata wengi ambao tunataka kutangaza biashara zetu na wapenda sifa
 
Mi nikadhani unafika pale unajichagulia jina unalopenda then wanalifyatua hapo hapo, kumbe wameshayandaa wenyewe.

Wabaki nayo wenyewe
 
Ubunifu Mzuri sana.Wakinunua wapate privilege barabarani na sehemu nyingine huku waki heshimu sheria,taratibu na tamaduni za kitanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…