GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
“Lazima mabadiliko yapatikane sio kuivunja tu Bodi ya Wakurugenzi, bali hata wachezaji kwa sasa hivi hawako watu wanaoweza kuiendeleza ile klabu, klabu imekuwa na mambo na kiubinafsi, hawathamini watu sio mimi tu tupo wengi ambao tulipoteza ujana wetu kuitumikia Simba” Abdallah Kibadeni Maarufu kama King Kibadeni, Gwiji wa Simba SC.
Na nadhani pia mmemsikia Leo Mzee mwingine Hamis Kilomoni juu ya kile alichokisema. Yaani ni Malaana tu SSC Ok?
Chanzo: SR Sports Tz
Na hapo bado tena na Laana zangu GENTAMYCINE ambaye mwaka 2012 ilikuwa niitoe Roho Kuipambania Simba SC.
Na nadhani pia mmemsikia Leo Mzee mwingine Hamis Kilomoni juu ya kile alichokisema. Yaani ni Malaana tu SSC Ok?
Chanzo: SR Sports Tz
Na hapo bado tena na Laana zangu GENTAMYCINE ambaye mwaka 2012 ilikuwa niitoe Roho Kuipambania Simba SC.